Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ufaransa ulienda kwenye michuano ya fainali za kombe la dunia 2002 kule south Korea and Japan as double champions, having won the 1998 world cup and Euro 2000.
Ufaransa walipangwa kundi A wakiwa pamoja na Senegal, Uruguay, Denmark. Kwa Senegal ndio ilikua Mara yao ya kwanza kwenye world cup na walipangwa kufungua mashindano na ufaransa..
Ufaransa ilisheheni mastaa na wakali kibao wakiwemo
zinedine zidane, mercel desaily, Lilian thuram, Thierry Henry, karembeu, Patrick vierra, Nikolas anelka, Fabian bartez, Robert pires hao Ni baadhi ya nyota..
Senegal ilikua na nyota kadhaa wakiwemo alhaji diof, Papa boup diop, ndiaye, camara, diao, fadiga, Tony Silva, team captain cisse
Kwenye ufunguzi wa kombe la dunia 2002 ufaransa ilivaana na Senegal Ni mechi iliyo Isha kwa kuuduwaza na kuushangaza ulimwengu wa soka ulimwenguni baada ya Senegal kuwaduwaza wafaransa kwa ushindi wa 1-0
Papa boup diop ndie alie wanyanyua wasenegali na waafrika kwa ujumla wake alipo slide na mpira nyavuni kuunganisha pasi ya maestro alhaji diof..
Kwa Sasa Papa boup diop Ni marehemu alifariki mwezi November 2020 akiwa na umri wa miaka 42 TU
Je? Unakumbuka Nini kwenye michuano ya fainali za kombe la dunia mwaka 2002 kule Korea kusini na japani
Ufaransa walipangwa kundi A wakiwa pamoja na Senegal, Uruguay, Denmark. Kwa Senegal ndio ilikua Mara yao ya kwanza kwenye world cup na walipangwa kufungua mashindano na ufaransa..
Ufaransa ilisheheni mastaa na wakali kibao wakiwemo
zinedine zidane, mercel desaily, Lilian thuram, Thierry Henry, karembeu, Patrick vierra, Nikolas anelka, Fabian bartez, Robert pires hao Ni baadhi ya nyota..
Senegal ilikua na nyota kadhaa wakiwemo alhaji diof, Papa boup diop, ndiaye, camara, diao, fadiga, Tony Silva, team captain cisse
Kwenye ufunguzi wa kombe la dunia 2002 ufaransa ilivaana na Senegal Ni mechi iliyo Isha kwa kuuduwaza na kuushangaza ulimwengu wa soka ulimwenguni baada ya Senegal kuwaduwaza wafaransa kwa ushindi wa 1-0
Papa boup diop ndie alie wanyanyua wasenegali na waafrika kwa ujumla wake alipo slide na mpira nyavuni kuunganisha pasi ya maestro alhaji diof..
Kwa Sasa Papa boup diop Ni marehemu alifariki mwezi November 2020 akiwa na umri wa miaka 42 TU
Je? Unakumbuka Nini kwenye michuano ya fainali za kombe la dunia mwaka 2002 kule Korea kusini na japani