Senegal: Mwalimu wa Madrasa akamatwa kwa tuhuma za Kubaka Wasichana 27

We kikongwe issue sio alilofanya ni halali au siyo halali katika mazingira ya kisheria!!!! Kwa hyo kama kisheria ni halali vp ktk kwa mwalimu wa madrasa ni halali alichokifanya?
 
Hawa walimu wa madrasa ni watu wa hovyo sana!
Kuna Mwenetu Moja hv kipindi tukiwa watoto alikua kawaida hakua na misimamo mikali ya mambo ya dini, tulivomaliza la saba matokeo yake hayakua mazur akaenda Namanga kama miaka minne alivorudi hata sisi alituona hatumjui mungu🤣🤣 akawa ameiva sana issue za mtume akienda mahali anahubir kwa kiarabu afu anatafsiri baada akawa mwalimu wa madrasa

Akaja kumlawiti mtoto wa miaka 9, watu walimkamata walimpiga saiv ni mlemavu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Salamaleko bi FaizaFoxy

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app

Kama unamsalimia mtu mmoja unasema Asalaam Aleikhum, nae ataitikia Aleikhumsalaam na kama ni kuanzia wawili au wengi utasema Wasalaam Aleikhum hivo yaani, na ukiwa unaanza kula au umemaliza unasema bismillah na kama unataka kusema asante mwenyezi mungu unasema Alhamdudillah, jifunze kiarabu siku moja moja sio mbaya
 
Hii dini hata mafundisho yake ukiyadikiliza asilimia 90 ni mambo ya mahusiano na mapenzi. Mbaya zaidi hawana ibada za watoto wanamwaga mambo mazito humohumo. Wao suala la umri wa mtoto hawaangalii, kakiota matiti tu au kuvunja ungo bila kujali umri wao kwao ni demu tayari au mke. Mafundisho ya ajabu Sana alileta huyu mwarabu
 
Nyuzi kama hizi wavaa ushungi aka alshabab na boko haram kina Faiza fox watapita kama hawaoni kitu

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Yeye kaabiwa mabikra 7 tu kuiona pepo, yeye kaongeza wengine 20. Huyu ni moja kwa moja peponi
 
Tena bi mdashi ni mdini kupindukia, akili hana kabisa kwa sababu za kidini. Ni mjinga wa mwisho, pia akiingia kwenye thread akiona wenzie wamefanya typing error ataanza kuwarekebisha na kusema shuleni umesomea ujinga? Kisa mtu kukosea tu kutype as if yeye hawezi kosea kutype.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…