Mkuu kumbe na wewe unampata eh? Wakikosea wenzie ni shidaaa, ni mtu wa hovyo saaana huyu mmama.Bibi kumbe na wewe hua una chapia hivi uko shule ulienda kusome ujinga
adalaam ndo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kumbe na wewe unampata eh? Wakikosea wenzie ni shidaaa, ni mtu wa hovyo saaana huyu mmama.Bibi kumbe na wewe hua una chapia hivi uko shule ulienda kusome ujinga
adalaam ndo nini?
Hahahahhahaha wa peponi ndo wapi hao mkuu?Salamaleko makobazi [emoji16][emoji3], mmeshindwa subiria wale wa peponi.
Sio mdini kajawa na chuki kwa kisingizio cha dini. Hana dini anaeijua.Tena bi mdashi ni mdini kupindukia, akili hana kabisa kwa sababu za kidini. Ni mjinga wa mwisho, pia akiingia kwenye thread akiona wenzie wamefanya typing error ataanza kuwarekebisha na kusema shuleni umesomea ujinga? Kisa mtu kukosea tu kutype as if yeye hawezi kosea kutype.