Senegal: Mwalimu wa Madrasa akamatwa kwa tuhuma za Kubaka Wasichana 27

Bibi kumbe na wewe hua una chapia hivi uko shule ulienda kusome ujinga
adalaam ndo nini?
Mkuu kumbe na wewe unampata eh? Wakikosea wenzie ni shidaaa, ni mtu wa hovyo saaana huyu mmama.
 
Sio mdini kajawa na chuki kwa kisingizio cha dini. Hana dini anaeijua.

Mwenye dini hawi na chuki na binadamu wenzie ambao hawajamkosea chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…