kafuten kesi kule icj kama huon mabadilikoToka aanze kutoa misaada Kuna Nini kilichobadilika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kafuten kesi kule icj kama huon mabadilikoToka aanze kutoa misaada Kuna Nini kilichobadilika?
kuwa muislam inahitaj ujipunguze akiliUkraine wamepigana mpaka wameisha na zan zimewaishia.Urusi hajarudi nyuma hata maili moja.
Gaza wameshauliwa kiasi hicho Seneti inaona haitoshi bora wamalizwe kabisa.
ukraine ni kubwa kias gan mpk saaa Urusi awe hajamaliza kujimegea Ukraine ?Kule kwa ukraine hakuna jipya litakalo tokea Russia ataendelea kumega maeneo zaidi na zaidi
Na pale israhell si ndio wale taifa teule ambalo halishindiki sasa hii misaada inakuaje kuaje tena dhidi ya wana mgambo tuuu israhell ilikua over-rated sana ila jamaa wakawaida sanaaaaaaaa
baadae hatutak migunoPropaganda mfu
na nyieuliambiwa na nan?
lakini situliambiwa kuwa israel wana kila kitu. Inakuwaje tena hadi misaada kwa kikundi cha wanamgambo
watumiao machine gun na parachutes.
siyo acha taifa teule sijui nye nye nyeHukunaga vita ndogo hasa ukiakua kudeal na magaidi ya kidini. Mayahudi ni taifa teule acha wafutilie mbali magaidi hamas
Usiseme kikundi cha magaidi.Sema kikundi kidogo cha wapigania uhuru kinachopigana na taifa kubwa linalosaidiwa na mataifa makubwa mengine.siyo acha taifa teule sijui nye nye nye
usirembe maneno.
sema taifa teule kwa kusaidiwa na marekani wanapamba na kikundi cha magaidi
Ndio umetoka kupokea baraka muda huu mbona umechelewa?Cease fire cease fire cease fire....over rated over rated over rated. Wanawake na watoto wanawake na watoto wanawake na watoto.
Sababu imepokea baraka kutoka kwa papa ndio maana haijamaliza kumegwaukraine ni kubwa kias gan mpk saaa Urusi awe hajamaliza kujimegea Ukraine ?
Mkibarikiwa lazma kwani mutoe miguno? [emoji848]baadae hatutak miguno
Kwa Ukrean kuna faida kubwa sana, Russia alikuwa tayari ashaiteka Kyiv kila pembe sasa wameweza kufurushwa hadi wamebaki bahari nyeusi wanarusha rusha missiles tu kuangusha nyumba za raia, naka unafuatilia vizuri saivi moto unawaka Moscow ambapo Putin alisema ikishambuliwa Moscow atatumia nuclear boms maana alitaka urusi isiguswe aogopewe sasa habari ni nyengineToka aanze kutoa misaada Kuna Nini kilichobadilika?
Kwa Ukrean kuna faida kubwa sana, Russia alikuwa tayari ashaiteka Kyiv kila pembe sasa wameweza kufurushwa hadi wamebaki bahari nyeusi wanarusha rusha missiles tu kuangusha nyumba za raia, naka unafuatilia vizuri saivi moto unawaka Moscow ambapo Putin alisema ikishambuliwa Moscow atatumia nuclear boms maana alitaka urusi isiguswe aogopewe sasa habari ni nyengine na Israel ndio mwiso wa taifa lao la mchongo wewe jiulize swali dogo kwanini Israel wanafadhiliwa kiasi hicho na walisema Hamas ni kikundi kiduchu watakiangamiza labda siku 1 au 2,Kule kwa ukraine hakuna jipya litakalo tokea Russia ataendelea kumega maeneo zaidi na zaidi
Na pale israhell si ndio wale taifa teule ambalo halishindiki sasa hii misaada inakuaje kuaje tena dhidi ya wana mgambo tuuu israhell ilikua over-rated sana ila jamaa wakawaida sanaaaaaaaa