[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu wa Kwetu ameshindwa nini kumaliza huu mchezo? Ona sasa yameshaibuka na mengine.
Yule kilaza msukuma maarufu kama Bashite akiiona hii lazma atasema "wakenya na wauza madawa ya kulevya wameungana ila sitishiki na kitu mungu yupo na mimi"
Hehehe!! Wakenya hii mada tusikurupuke, hawa Wabongo wameileta kimkakati maana wanamchokoza mkuu wao wa mkoa, siku hizi wanamuita Bashite. Wamekua wakimwomba aonyeshe stakabadhi zake baada ya mhubiri fulani kumtuhumu kwamba alighushi vyeti na kuiba jina la mtu.
Hana sasa atatoa nini?kuafanya hivyo tu kunamfanya mtu alie,.. tena tuanataka scanned copy tu
Yeye mwenyewe anashirikiana na wauzaji wa madawa ya kulevyaYule kilaza msukuma maarufu kama Bashite akiiona hii lazma atasema "wakenya na wauza madawa ya kulevya wameungana ila sitishiki na kitu mungu yupo na mimi"
Seneta wa Jiji la Nairobi, Mike Sonko amaliza utata kwa waliomsema kuwa hana vyeti kwa kutoa vyeti vyake vyote hadharani.
ha aha sasa ndiyo atoe machozi?Hana sasa atatoa nini?
etii! mtu si unasema tu sina au staki basi yanaishaha aha sasa ndiyo atoe machozi?
Wewe ni zaidi ya kilazaKenya ni kenya na Tanzania ni Tanzania.Huyo sijui Sonkolo wenu anatuhusu nini sasa?