Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

Huyu wa Kwetu ameshindwa nini kumaliza huu mchezo? Ona sasa yameshaibuka na mengine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yule kilaza msukuma maarufu kama Bashite akiiona hii lazma atasema "wakenya na wauza madawa ya kulevya wameungana ila sitishiki na kitu mungu yupo na mimi"
 
Kilaza wa kuzungusha bongo yeye anaegemea vyeo vya uteuzi. Sonko amechaguliwa na wananchi na amewajibika

Bashite muunge mkono Maghufuli kwa kuonyesha vyeti bhaaana
 
Hehehe!! Wakenya hii mada tusikurupuke, hawa Wabongo wameileta kimkakati maana wanamchokoza mkuu wao wa mkoa, siku hizi wanamuita Bashite. Wamekua wakimwomba aonyeshe stakabadhi zake baada ya mhubiri fulani kumtuhumu kwamba alighushi vyeti na kuiba jina la mtu.

receipt?!
 
Yule kilaza msukuma maarufu kama Bashite akiiona hii lazma atasema "wakenya na wauza madawa ya kulevya wameungana ila sitishiki na kitu mungu yupo na mimi"
Yeye mwenyewe anashirikiana na wauzaji wa madawa ya kulevya
Seneta wa Jiji la Nairobi, Mike Sonko amaliza utata kwa waliomsema kuwa hana vyeti kwa kutoa vyeti vyake vyote hadharani.
eb7e088141396f898df8c6cd38e0e6c1.jpg
5ae5caccf992163d2429e9c7ed24606d.jpg
1f6209ff3db7e94970f2a1586a5d0e1a.jpg
ce28edbcfd7eeac9d72040a17606ee42.jpg
 
Sio ajabu wala sio kazi kufanya hivyo. Kama watu walikuwa na mashaka na elimu yake bora amewathibitishia kuwa yupo vizuri
 
Lakini bashite ana roho ngumu kama ya paka anastahili tuzo ya kuwa mwenye kichwa ngumu duniani.
 
Mtoa umejaa umbea,ya wakenya yanakuhusu nini?Kama unawapenda sana hamia kwao.
 
Atatoa amri sio vyeti.....cheti anacho kimoja tu ambacho ndio chake. Pia ameiba jina la watu
 
e2e2a0dde1b4981610e216c6ec91a9b7.jpg

8b7dd366898dcc098e7c40654c4ebe92.jpg

Mkuu wetu wa mkoa aige mfano bora wa Gavana wa nairobi.Baada ya kuandamwa kuhusu elimu yake Gavana huyo aliingia kabatini na kuweka vyeti vyake vyote hadharani.Tendo hilo lilimaliza utata na wapinzani wake kisiasa kukaa kimya.
Bashite AKA Makonda fuaata nyayo hizo weka vyeti mezani mjadala uishe na uwe mshindi.La sivyo mpaka unaenda kaburini watu watahitaji vyeti tu.Iwe usiku,Mchana,Jioni,Mvua inyeshe,Jua liwake watu wataka vyeti mezani.Iga mfano wa mwenzako kenya hapo tena nyadhifa zenu ni sawa kabisa.
 
Huyu wa kwetu vyeti vyake ni vizito sana hawezi kuvibeba akaleta tuvione?
 
RC aige mfano... ili hiz kelele ziishe , aweke vyeti.. tuendelee na mambo mengine ya muhim
 
Back
Top Bottom