Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

Mike sonko tusha mzoea kwa kutafuta kiki ngoja mbabe wake gavana wa Mombasa ALLY HASSAN JOHO aje kumpa live.
 
Na bado atazidi kuwanyoosha

Na wafanyakazi wa TRA wanaouza documents za watu nao wanalo, ICT itawanasa.

Kweli wa madawa ya kulevya mpo wengi, now sio vyeti bali mengine ha ha haaaaaaaaaaaaaa

Makonda oyeeeeeee
Unahangaika bure kujitetea hapa Bashite! Kwanini unakuwa mshamba kiasi hiki? Unatangaza watu kuwa wanahusika na madawa ya kulevya kumbe nia yako ni ili wakuhonge magari? Umejiaibisha sana na ninakuhakikishia kama mkuu atakuacha kwa aibu hii ya kuivua nguo serikali wananchi wenyewe watashughulikia kama kibaka-your days are numbered!
 
...... Narudia Makonda siyo mwanasiasa ndio maana hawezi onyesha vyeti vyake .....


Mkuu hufahamu kama u-RC ni cheo cha kisiasa? Nina wasiwasi na ufahamu wako.
 
Na bado atazidi kuwanyoosha

Na wafanyakazi wa TRA wanaouza documents za watu nao wanalo, ICT itawanasa.

Kweli wa madawa ya kulevya mpo wengi, now sio vyeti bali mengine ha ha haaaaaaaaaaaaaa

Makonda oyeeeeeee
Mkuu VP uko kwenye siku zako angalia bwana utatuchafulia hali ya hewa
 
Hivi kwanini hili suala wenye ushahidi wasilipeleke mahakamani.....kwani si ina fahamika kuwa hili suala lina adhabu yake kwa mujibu wa sheria.....

Tumechoka kusikia ngonjera za hili sakata......

Ningependa kumuona Makonda akiumbuka mahakamani......
Unakumbuka ya mkurugenzi wa Halmashauri moja nchini siku ya kula kiapo ikulu vyeti vilionyeshwa hadharani mkuu tuweni na kumbukumbu
 
Unakumbuka ya mkurugenzi wa Halmashauri moja nchini siku ya kula kiapo ikulu vyeti vilionyeshwa hadharani mkuu tuweni na kumbukumbu

Ndio tunakumbuka....lakini kwanini wasimuumbue huko mahakamani....ambapo atahukumiwa kwa mujibu wa sheria....!???

Mimi nadhani hii ndio sababu mujarabu ya kumuondoa huyo Makonda kwenye nafasi yake
 
Na bado atazidi kuwanyoosha

Na wafanyakazi wa TRA wanaouza documents za watu nao wanalo, ICT itawanasa.

Kweli wa madawa ya kulevya mpo wengi, now sio vyeti bali mengine ha ha haaaaaaaaaaaaaa

Makonda oyeeeeeee
bampa to bampa poleni sana kumbe ndo anataka utajiri wa nguvu
[HASHTAG]#tunatakavyetivyetu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#freemanji[/HASHTAG]
 
Kesho naita press conference kuonesha cheti changu cha kuzaliwa , na kitqmbulisho cha mpiga kura,
 
Bashite hana vyeti alipiga Bashite yenye masikio.

Mgombea ugavana jijin Nairobi (half-London of Africa)Michael Sonko Imemlazimu kuonesha vyeti vyake vya kitaaluma kuanzia elimu ya upili mpaka chuo kikuu baada ya kutuhumiwa amegushi vyeti vyake.

Tuhuma hizo zilizozuka siku za karibuni kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya na wapinzan wake kuwa Sonko anatumiia vyeti visivyo halal na kitendo hcho kinatafisiliwa km ukiukwaji wa sheria za uchi na kosa la jinai.

Kwa mfano bora alionesha Sonko pia 2napenda kumshawishi mbabe wa vita mkuu wa mkoa mwenye ushawishi kuliko wote aliyetimiza mwaka m1 wa utumishi uliotukuka,mbunifu,mleta dar mpya aige mfano kutoka kwa Sonko.

Na hapo chini ni attachment vyeti anuai vya Sonko vilivyo fanyiwa uchunguz na idara husika....Zamu yako sasa Watanzania Tunakusubiria Bro.

2e5df633853f8abcc9a360dfb1c6c0e8.jpg
0e58f1d265353d4010447adf288663c0.jpg
9f2281a69f5b09a359a72fd0d0ecba1f.jpg
f3edfc6a49426b131fad21efa323b3e3.jpg
a56d6fb6fb85ce52704495d0727defa2.jpg
.....
97533616ba49cee917b9cbb9443ec81e.jpg
 
Back
Top Bottom