Sensa 2022: Zoezi linavyoendelea na yanayojiri

Sensa 2022: Zoezi linavyoendelea na yanayojiri

Leo ilikua siku ya kuhesabu viongozi tu ili watupie picha mitandaoni unajua wapo busy sana inabidi nchi isimame ili viongozi wahesabiwe, nyie zamu yenu itafika next week.
Hii inimeona ITV jana, baadhi ya Mawaziri wakiwa makwao walikozaliwa wakielezea walivyohesabiwa na familia zao.
 
Leo ilikua siku ya kuhesabu viongozi tu ili watupie picha mitandaoni unajua wapo busy sana inabidi nchi isimame ili viongozi wahesabiwe, nyie zamu yenu itafika next week.
Hii inimeona ITV jana, baadhi ya Mawaziri wakiwa makwao walikozaliwa wakielezea walivyohesabiwa na familia zao.
 
Back
Top Bottom