Sensa ya watu na makazi: Maswali ambayo hayakupaswa kuwepo kwenye dodoso

Sensa ya watu na makazi: Maswali ambayo hayakupaswa kuwepo kwenye dodoso

Karani aliniuliza "unajishugulisha na kitu kingine Cha kukuingizia kipato (tofauti na ajira?)"

Kwa nature ya swali jibu Ni ndio au hapana,
Mimi kabla sijamjibu nikamuuliza nikisema ndio utaniuliza kitu gani?

Akasema wewe jibu swali Kama unajishugulisha na kitu kingine?

Nikamjibu Mwezi huu Nina likizo, Selikari inajua niko likizo kwahiyo Niko likizo nimepumzika.

Karani akachoka maana alikuwa alikuwa anataka niseme side biz zangu ili sijui TRA walete pua zao.
Ndizo siasa zenyewe tunazozisema..... Hizo data hazitasaidia chochote maana baada ya mwaka zinakuwa obsolete..
 
Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu.

Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni kuwachosha makarani tuu na kuifanya kazi ya sensa kuwa ngumu sana na inayoboa kwa anayehojiwa.

Moja ya maswali ambayo ni useless kwenye dodoso la mwaka huu ni kama yafuatayo:

1. Namba ya simu
Kila siku watu wanabadili namba, baada ya mwaka tuu nusu ya data hizi huenda ziwe useless.

2. Mahali unaposhinda
Mahali mtu anaposhinda inasaidia nini kwenye maendeleo ya taifa? Hizi data ndani ya mwaka tuu zitakuwa obsolete maana asilimia kubwa hawatakuwa wanashinda pale pa mwanzo.

3. Kitambulisho na namba ya NIDA
Hizi data tayari zipo NBS. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

4. Kitambulisho cha ujasiriamali.
Huu mradi ulishasitishwa siku nyingi. Unawekwa kwenye dodoso kwa lengo gani wakati toka mwendazake aondoke na wenyewe ukasitishwa na hivi vitambulisho havitambuliki tena?

5. Simu janja na Kompyuta
Hizi data zote ziko pale TCRA, wao ndiyo wanajua exactly namba ya hivi vifaa vilivyopo hewani. Kwa vyovyote vile data watakazopata makarani hazitaendana na za TCRA maana siyo wote watatoa data kamili, kwa maswali yalivyo mengi watu wataamua kufupisha kwa kujibu "HAPANA SINA".

6. Uzazi na vifo.
Hizi data zinatumwa kila mwezi kwenye wizara zinazohusika. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

7. Anuani ya makazi
Hili zoezi limefanyika juzi tuu. Kwa kuwa visimbuzi vinatumia GPS nilitegemea kila kikifika kwenye kaya husika basi automatically kidetect kama nyumba ina anuani ya makazi ama laah.

Ongezeeni mengineyo.....
Acha kupinga usichokijua. Ungeuliza kwanini hizo data zinahitajika kwa taifa.
 
Kwahiyo wakichukua hizo namba za NIDA ndo hao watu hawafi tena ili wakae na hizo data?

Wapo watu waliohesabiwa juzi lakini kifikia leo wameshafariki na taarifa zao hazipo RITA wala sehemu yoyote,je hizo taarifa zao walizozitoa juzi hususan namba za NIDA bado zina umuhimu?
Kwanza siku hizi kila kifo kinawekwa kwenye rekodi, either upate burial permit kutoka hosptitalini au mjumbe akujazie form maalumu ambazo wamepewa..

Tatizo wanaopinga ninachokisema wengi ni machalii ambao hata hawajui mtaani wanakoishi mambo kama.haya yanaendeshwa vipi.
 
Acha kupinga usichokijua. Ungeuliza kwanini hizo data zinahitajika kwa taifa.
Ni wapi nimepinga? Hakuna mahali nimepinga bali nimesema ni maswali mfu ambayo ndani ya muda mfupi yanakuwa out of date.
 
Huna taaluma ya takwimu, lakini pia haya mambo yako juu ya uelewa wako. Kaa kwa kutulia takwimu zichukuliwe.

Ukisema kila kitu ni obsolete, hata kuhesabu watu itakuwa useless, maana mtu kahesabiwa tarehe 23 august na huyo huyo mtu kafariki trh 24 august. Maana yake kwa mawazo yako, ilikuwa useless kumuhesabu.
 
Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu.

Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni kuwachosha makarani tuu na kuifanya kazi ya sensa kuwa ngumu sana na inayoboa kwa anayehojiwa.

Moja ya maswali ambayo ni useless kwenye dodoso la mwaka huu ni kama yafuatayo:

1. Namba ya simu
Kila siku watu wanabadili namba, baada ya mwaka tuu nusu ya data hizi huenda ziwe useless.

2. Mahali unaposhinda
Mahali mtu anaposhinda inasaidia nini kwenye maendeleo ya taifa? Hizi data ndani ya mwaka tuu zitakuwa obsolete maana asilimia kubwa hawatakuwa wanashinda pale pa mwanzo.

3. Kitambulisho na namba ya NIDA
Hizi data tayari zipo NBS. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

4. Kitambulisho cha ujasiriamali.
Huu mradi ulishasitishwa siku nyingi. Unawekwa kwenye dodoso kwa lengo gani wakati toka mwendazake aondoke na wenyewe ukasitishwa na hivi vitambulisho havitambuliki tena?

5. Simu janja na Kompyuta
Hizi data zote ziko pale TCRA, wao ndiyo wanajua exactly namba ya hivi vifaa vilivyopo hewani. Kwa vyovyote vile data watakazopata makarani hazitaendana na za TCRA maana siyo wote watatoa data kamili, kwa maswali yalivyo mengi watu wataamua kufupisha kwa kujibu "HAPANA SINA".

6. Uzazi na vifo.
Hizi data zinatumwa kila mwezi kwenye wizara zinazohusika. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

7. Anuani ya makazi
Hili zoezi limefanyika juzi tuu. Kwa kuwa visimbuzi vinatumia GPS nilitegemea kila kikifika kwenye kaya husika basi automatically kidetect kama nyumba ina anuani ya makazi ama laah.

Ongezeeni mengineyo.....
Sensa za nchi nyingi duniani, umechunguza ukajua wanauliza nini? Au umekurupuka tu.
 
Hii sensa ni ya watu na makazi, hayo mambo mengine ya nini?

Kwa nini mamlaka zinazohusika zisidili na majukumu yao?
Sensa ya watu na makazi? Ikimaanisha hao watu hawaishi kisiwani wanatumia simu, wanafuga mbuzi, Wanamiliki biashara n.k so ukishajua hayo "mambo mengine" ni rahisi kuandaa sera nzuri za kuwasaidia hao watu.

Mfano kama kwenye mahojiano ukagundua 70% hawana simu, Ina maana Serikali itashusha Kodi Ili simu ziuzwe Bei chini n.k sasa utasemaje hayo "mambo mengine" hayana maana
 
Shenzi zako wewe, kwani hili zoezi ni tafiti?
Census mbona ni sampling method ya Tafiti!! Yaani badala ya kuchukua sample ya watu elfu 5 kama wanavyofanyaga Twaweza Hawa NBS wamechukua Population nzima so ni tafiti hii.

Haya mambo ndio maana nimesema muachie wataalam, reliability or validity of instruments used in surveys pass through the same level of scrutiny hakuna shortcut.
 
Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu.

Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni kuwachosha makarani tuu na kuifanya kazi ya sensa kuwa ngumu sana na inayoboa kwa anayehojiwa.

Moja ya maswali ambayo ni useless kwenye dodoso la mwaka huu ni kama yafuatayo:

1. Namba ya simu
Kila siku watu wanabadili namba, baada ya mwaka tuu nusu ya data hizi huenda ziwe useless.

2. Mahali unaposhinda
Mahali mtu anaposhinda inasaidia nini kwenye maendeleo ya taifa? Hizi data ndani ya mwaka tuu zitakuwa obsolete maana asilimia kubwa hawatakuwa wanashinda pale pa mwanzo.

3. Kitambulisho na namba ya NIDA
Hizi data tayari zipo NBS. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

4. Kitambulisho cha ujasiriamali.
Huu mradi ulishasitishwa siku nyingi. Unawekwa kwenye dodoso kwa lengo gani wakati toka mwendazake aondoke na wenyewe ukasitishwa na hivi vitambulisho havitambuliki tena?

5. Simu janja na Kompyuta
Hizi data zote ziko pale TCRA, wao ndiyo wanajua exactly namba ya hivi vifaa vilivyopo hewani. Kwa vyovyote vile data watakazopata makarani hazitaendana na za TCRA maana siyo wote watatoa data kamili, kwa maswali yalivyo mengi watu wataamua kufupisha kwa kujibu "HAPANA SINA".

6. Uzazi na vifo.
Hizi data zinatumwa kila mwezi kwenye wizara zinazohusika. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

7. Anuani ya makazi
Hili zoezi limefanyika juzi tuu. Kwa kuwa visimbuzi vinatumia GPS nilitegemea kila kikifika kwenye kaya husika basi automatically kidetect kama nyumba ina anuani ya makazi ama laah.


Ongezeeni mengineyo.....
NCHI HII ni ya AJABU SANA KUPATA KUTOKEA ndio maana MUNGU KAINYIMA MAENDEKEO
 
Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu.

Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni kuwachosha makarani tuu na kuifanya kazi ya sensa kuwa ngumu sana na inayoboa kwa anayehojiwa.

Moja ya maswali ambayo ni useless kwenye dodoso la mwaka huu ni kama yafuatayo:

1. Namba ya simu
Kila siku watu wanabadili namba, baada ya mwaka tuu nusu ya data hizi huenda ziwe useless.

2. Mahali unaposhinda
Mahali mtu anaposhinda inasaidia nini kwenye maendeleo ya taifa? Hizi data ndani ya mwaka tuu zitakuwa obsolete maana asilimia kubwa hawatakuwa wanashinda pale pa mwanzo.

3. Kitambulisho na namba ya NIDA
Hizi data tayari zipo NBS. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

4. Kitambulisho cha ujasiriamali.
Huu mradi ulishasitishwa siku nyingi. Unawekwa kwenye dodoso kwa lengo gani wakati toka mwendazake aondoke na wenyewe ukasitishwa na hivi vitambulisho havitambuliki tena?

5. Simu janja na Kompyuta
Hizi data zote ziko pale TCRA, wao ndiyo wanajua exactly namba ya hivi vifaa vilivyopo hewani. Kwa vyovyote vile data watakazopata makarani hazitaendana na za TCRA maana siyo wote watatoa data kamili, kwa maswali yalivyo mengi watu wataamua kufupisha kwa kujibu "HAPANA SINA".

6. Uzazi na vifo.
Hizi data zinatumwa kila mwezi kwenye wizara zinazohusika. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

7. Anuani ya makazi
Hili zoezi limefanyika juzi tuu. Kwa kuwa visimbuzi vinatumia GPS nilitegemea kila kikifika kwenye kaya husika basi automatically kidetect kama nyumba ina anuani ya makazi ama laah.


Ongezeeni mengineyo.....
Sensa inahitaji physical verification tu,asilimia kubwa ya data wanazo hadi idadi ya kaya na nyumba,wanachotaka ni uhakika na kuona kuna mabadiriko kwa kiasi gani .

Karan wako angekupa elimu ya kutosha nadhan usingekuja na huu uzi
 
Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu.

Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni kuwachosha makarani tuu na kuifanya kazi ya sensa kuwa ngumu sana na inayoboa kwa anayehojiwa.

Moja ya maswali ambayo ni useless kwenye dodoso la mwaka huu ni kama yafuatayo:

1. Namba ya simu
Kila siku watu wanabadili namba, baada ya mwaka tuu nusu ya data hizi huenda ziwe useless.

2. Mahali unaposhinda
Mahali mtu anaposhinda inasaidia nini kwenye maendeleo ya taifa? Hizi data ndani ya mwaka tuu zitakuwa obsolete maana asilimia kubwa hawatakuwa wanashinda pale pa mwanzo.

3. Kitambulisho na namba ya NIDA
Hizi data tayari zipo NBS. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

4. Kitambulisho cha ujasiriamali.
Huu mradi ulishasitishwa siku nyingi. Unawekwa kwenye dodoso kwa lengo gani wakati toka mwendazake aondoke na wenyewe ukasitishwa na hivi vitambulisho havitambuliki tena?

5. Simu janja na Kompyuta
Hizi data zote ziko pale TCRA, wao ndiyo wanajua exactly namba ya hivi vifaa vilivyopo hewani. Kwa vyovyote vile data watakazopata makarani hazitaendana na za TCRA maana siyo wote watatoa data kamili, kwa maswali yalivyo mengi watu wataamua kufupisha kwa kujibu "HAPANA SINA".

6. Uzazi na vifo.
Hizi data zinatumwa kila mwezi kwenye wizara zinazohusika. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

7. Anuani ya makazi
Hili zoezi limefanyika juzi tuu. Kwa kuwa visimbuzi vinatumia GPS nilitegemea kila kikifika kwenye kaya husika basi automatically kidetect kama nyumba ina anuani ya makazi ama laah.


Ongezeeni mengineyo.....
KWa mfumo wa nchi yetu ,ilikua simple Sana, kutumia balozi wa nyumba kumi ,sambaza dodoso, zikajazwa na kuzipeleka KWa mkuu wa mtaa,then mtendaji wa kata, nazikatumwa panapo husika, all in all nakua na Tim ndogo KILA wilya KWa makundi mahalum, basi kuliko tumia pesa nyingi alafu ukaishia kuwa na data feki, tatizo ni Kwamba serikalin watu hujifanya wanajua KILA kitu , kumbe wapo kiupigaji tu
 
Una hoja muanzisha uzi. Hata mimi kuna amswali yalinishangaza miongoni mwa uliyoyataja.

Tatizo la nchi yetu mifumo ya taasisi haipo synced. Ni sawa na kadhia wanayoipata wawekezaji pale TIC the so called one stop centre ya uwekezaji, pale zipo ofisi zote necessary, lakini cha ajabu akitoka pale anasumbuliwa tena.
Mimi leo nimefikiwa bwana..

Moja ya swali niliulizwa na likanishangaza sana ni;

"Ndani ya wiki moja iliyopita ulitembelea maeneo gani?"

Nilitaka nimuulize karani, unaniuliza swali hili ili iweje, lakini nikaamua kupotezea na nikamjibu nilikuwa safari za binafsi za hapa na pale...

Tukawa tumeishia hapo..
 
Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu.

Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni kuwachosha makarani tuu na kuifanya kazi ya sensa kuwa ngumu sana na inayoboa kwa anayehojiwa.

Moja ya maswali ambayo ni useless kwenye dodoso la mwaka huu ni kama yafuatayo:

1. Namba ya simu
Kila siku watu wanabadili namba, baada ya mwaka tuu nusu ya data hizi huenda ziwe useless.

2. Mahali unaposhinda
Mahali mtu anaposhinda inasaidia nini kwenye maendeleo ya taifa? Hizi data ndani ya mwaka tuu zitakuwa obsolete maana asilimia kubwa hawatakuwa wanashinda pale pa mwanzo.

3. Kitambulisho na namba ya NIDA
Hizi data tayari zipo NBS. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

4. Kitambulisho cha ujasiriamali.
Huu mradi ulishasitishwa siku nyingi. Unawekwa kwenye dodoso kwa lengo gani wakati toka mwendazake aondoke na wenyewe ukasitishwa na hivi vitambulisho havitambuliki tena?

5. Simu janja na Kompyuta
Hizi data zote ziko pale TCRA, wao ndiyo wanajua exactly namba ya hivi vifaa vilivyopo hewani. Kwa vyovyote vile data watakazopata makarani hazitaendana na za TCRA maana siyo wote watatoa data kamili, kwa maswali yalivyo mengi watu wataamua kufupisha kwa kujibu "HAPANA SINA".

6. Uzazi na vifo.
Hizi data zinatumwa kila mwezi kwenye wizara zinazohusika. Kuziuliza tena kwenye dodoso ni kuwachosha makarani tuu.

7. Anuani ya makazi
Hili zoezi limefanyika juzi tuu. Kwa kuwa visimbuzi vinatumia GPS nilitegemea kila kikifika kwenye kaya husika basi automatically kidetect kama nyumba ina anuani ya makazi ama laah.


Ongezeeni mengineyo.....
Kwanza mpaka dakika hii sidhan kama sensa hii ya Samia itakuwa na data sahihi haya ndio madhara ya kujichanganya
 
Basala waullize tunapata milo mingapi , unaulizwa je una brenda?
 
Back
Top Bottom