Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

Nimeipenda da!!!!
 
Shunie nmevutiwa sana na ww
I wish uwe my wife Wang

Niwe my husband wako my dear
Unishikie nikushike tushikane
Mikono

Tutengeneze family yetu
ya kizaz kijacho my dear
 
Unauliza sentensi nzuri za kutongozea kwa ajili ya kukutanisha vifanyio tu au mtongozo wa nia ya kuanzisha mahusiano au mtongozo wa kutafuta mama yeyooo???

Maana malengo tofauti na mtongozo nao huwa tofauti...
 
We jamaa ni kiboko saanaa
 
Mistari mikali sana hii ngoja nikaongezee na hii yule msukuma lazima aingie kati usiku nitaleta mrejesho km katiki au no ila kwa madini haya hachomoi japo anajiona mzuri na wakishu umeniongezea kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mm huwa sijui kutongoza bali nikitaka demu or mwanamke yeyote yule huwa namwangalia tu machoni kwa kumkazia bila kupepesa macho lazima aangalie chino nashika mkono naenda kugegeda
 
Nimejaribu mara nyingi kuiambia nafsi yangu kile nikiwazacho si halisi na si ukweli lakini kila mara imekua ikinisuta na kuniambia niseme ukweli wa moyo wala nisifiche maana ndipo amani itanijia " hakika nimeshindwa kujizuia tena naona leo niweke bayana Salma moyo wangu unakuhitaji na unatamani siku zote uwe karibu yangu na niwe nawe mpaka uzeeni kwangu maana nafsi yangu imetekwa na uzuri wa tabia zako na umbo lako pia hakika wewe ndo yule niliyekuwa nikimsubiri siku nyingi , naamini hakuna aliyekamilika ila kwa asilimia kubwa umeshinda zabuni ya kuumiliki moyo wangu ,nakupenda salma na ntahisi kuumiliki ulimwengu wote endapo utakubali kuungana nami salma ,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…