Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

Nimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...

Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
Nimeipenda da!!!!
 
Unauliza sentensi nzuri za kutongozea kwa ajili ya kukutanisha vifanyio tu au mtongozo wa nia ya kuanzisha mahusiano au mtongozo wa kutafuta mama yeyooo???

Maana malengo tofauti na mtongozo nao huwa tofauti...
 
Nimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...

Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
We jamaa ni kiboko saanaa
 
Nimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...

Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
Mistari mikali sana hii ngoja nikaongezee na hii yule msukuma lazima aingie kati usiku nitaleta mrejesho km katiki au no ila kwa madini haya hachomoi japo anajiona mzuri na wakishu umeniongezea kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mm huwa sijui kutongoza bali nikitaka demu or mwanamke yeyote yule huwa namwangalia tu machoni kwa kumkazia bila kupepesa macho lazima aangalie chino nashika mkono naenda kugegeda
 
Nimejaribu mara nyingi kuiambia nafsi yangu kile nikiwazacho si halisi na si ukweli lakini kila mara imekua ikinisuta na kuniambia niseme ukweli wa moyo wala nisifiche maana ndipo amani itanijia " hakika nimeshindwa kujizuia tena naona leo niweke bayana Salma moyo wangu unakuhitaji na unatamani siku zote uwe karibu yangu na niwe nawe mpaka uzeeni kwangu maana nafsi yangu imetekwa na uzuri wa tabia zako na umbo lako pia hakika wewe ndo yule niliyekuwa nikimsubiri siku nyingi , naamini hakuna aliyekamilika ila kwa asilimia kubwa umeshinda zabuni ya kuumiliki moyo wangu ,nakupenda salma na ntahisi kuumiliki ulimwengu wote endapo utakubali kuungana nami salma ,,,,
 
Back
Top Bottom