Tetesi: Septemba 1 ni Maadhimisho ya Miaka 52 ya Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania

Tetesi: Septemba 1 ni Maadhimisho ya Miaka 52 ya Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania

Lizaboni

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
33,895
Reaction score
20,392
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.

Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
 
Hovyoooooo mnakuwa waongo mpaka mnapitiliza,
 
Awamu hii siyo ya kufanyia majaribio. Wafanye kazi. Na wakitaka kumjaribu jemedari wajitokeze
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964.

HAPPY BIRTHDAY TO YOU MAJESHI YA Ulinzi na usalama.
Majeshi yote sehemu mbali mbali mikoa karibu yote yako kwenye mazoezi MIKOA MBALI MBALI yakifanya mazoezi ya nguvu kwa ajili ya kusherehekea siku hiyo kwa maonyesho mbali mbali ya kijeshi kuanzia YA kipolisi kwenye mitaa mbali mbali ya miji na majiji.Siku hiyo POLISI WATAPITA mitaani kusherehekea siku kuu yao kubwa wakiwa na magari yao virungu,mbwa ,silaha nk yote katika kuipendezesha siku kuu yao.

WANANCHI SIKU HIYO MKIWAONA MITAANI washangilieni sanaaa wako kwenye kusherehekea siku kuu yao
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.

Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathunutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Mi naomba mungu awajaalie ushujaa wa kufanya wanachosema, ili ukweli wa mambo udhihiri, na kina sie tufanye mambo mengine...

...angalizo....tukijua fika hitimisho la tamthilia hii, na tukumbushane kwa ufupi tu somo la "waziri mkuu wa awamu ya tatu", akihutubu bungeni miaka hiyo juu ya ugumu wa mazingira ya jela...kwamba ni sehemu ya kuhifadhi wahalifu kwa uhalifu wao, na haiwezi kuwa kama kilimanjaro hotel.....lkn pia, tukikumbushana na mengine, mheshimiwa Lusinde, akihutubu ktk kampeni za uchaguzi mdogo huko arumeru, miaka hiyo,

alitutanabahisha juu ya namna "al maarufu wa mji wa mnara wa katikati ya Cape town, na Alexandria, alivyojisogeza, na kukirimiwa na "wajanja" wa jela, ili kujipunguzia adha, mateso, na ugumu wa jela....tujikumbushe pia kupitia marehemu Ndanda Kosovo na wenzi wake na kibao cha cha "jela"...
...ni vema kukumbushana...!
.....na iwe hivyo!
 
Hivi wale wanaofanya mikutano usiku, ya kula njama yule bwana alie leta hapa uzi akiwemo marope, mhusika ajashikwa kuwa ni muongo amedanganya? Au kuna ka ukweli. Which is which?
 
Wanasubiliwa kwa hamu kubwa wenyewe wanajua kuwa wakifanya ujinga watajuta
 
Back
Top Bottom