Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Lukuvi, Membe na yule DC wa kinondoni bado wanamhujumu mtukufu Rais kama ulivyotuaminisha siku chache zilizopita?Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Acha uongo.Eti Mola wakati ni wa tume ya uchaguzi.Tuache watanzania wafanye kazi chini ya rais tulipewa na mola
Unajiuliza na kujijibu mwenyewe?! Ni lini utaanza kutumia akili yako mwenyewe?Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Tarehe si imekaribia kwa nn usisubiri ili upate majibu ya uhakika??Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
sizani kama unaufahamu mzuri na fujo za maandamo!! waulize Kenya watakwambiaAwamu hii siyo ya kufanyia majaribio. Wafanye kazi. Na wakitaka kumjaribu jemedari wajitokeze
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Siku hizi umeteuliwa kuwa msemaji wa Ikulu? Hongera sanaWadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
kama ni pumba andamana sept 1. Ukione cha mtema kuni
Mi naomba mungu awajaalie ushujaa wa kufanya wanachosema, ili ukweli wa mambo udhihiri, na kina sie tufanye mambo mengine...
...angalizo....tukijua fika hitimisho la tamthilia hii, na tukumbushane kwa ufupi tu somo la "waziri mkuu wa awamu ya tatu", akihutubu bungeni miaka hiyo juu ya ugumu wa mazingira ya jela...kwamba ni sehemu ya kuhifadhi wahalifu kwa uhalifu wao, na haiwezi kuwa kama kilimanjaro hotel.....lkn pia, tukikumbushana na mengine, mheshimiwa Lusinde, akihutubu ktk kampeni za uchaguzi mdogo huko arumeru, miaka hiyo, alitutanabahisha juu ya namna "al maarufu wa mji wa mnara wa katikati ya Cape town, na Alexandria, alivyojisogeza, na kukirimiwa na "wajanja" wa jela, ili kujipunguzia adha, mateso, na ugumu wa jela....tujikumbushe pia kupitia marehemu Ndanda Kosovo na wenzi wake na kibao cha cha "jela"...
...ni vema kukumbushana...!
.....na iwe hivyo!
Hizi ni aina mbaya za fikra zinazotufikisha hapa!kama ni pumba andamana sept 1. Ukione cha mtema kuni
Mkuu unapoteza muda kuhangaika na fisi kama lizaboni hajielewi hapo alipo kila siku analeta matope hapa jukwaani achane nayeVipi Lukuvi, Membe na yule DC wa kinondoni bado wanamhujumu mtukufu Rais kama ulivyotuaminisha siku chache zilizopita?