Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni pumba andamana sept 1. Ukione cha mtema kuni
Mtajitafuta sanaWadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathunutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Maandamano ya UVCCM nchi nzimana tarehe 31 August 2016 ni siku ya nini??
So far ni lazima mamlaka iwe na ulinzi, si hapa na wala kwa CCM tu, haipo mamlaka isiyo na ulinzi hata sie wakristo tuna "roho mtakatifu" kama mlinzi wetu. Mjitahidi kuendelea kutafuta maharifa ili iwasaidieCCM bila jeshi weupe kabisa
Labda sio magufuli yule mbana matumizi ila kama ni yule nichekeleeeeWadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
wengekuwa wakipatiwa pia taarifa ya uvamizi wa majambaz wanajitokeza sijui....HAPPY BIRTHDAY TO YOU MAJESHI YA Ulinzi na usalama.
Majeshi yote sehemu mbali mbali mikoa karibu yote yako kwenye mazoezi MIKOA MBALI MBALI yakifanya mazoezi ya nguvu kwa ajili ya kusherehekea siku hiyo kwa maonyesho mbali mbali ya kijeshi kuanzia YA kipolisi kwenye mitaa mbali mbali ya miji na majiji.Siku hiyo POLISI WATAPITA mitaani kusherehekea siku kuu yao kubwa wakiwa na magari yao virungu,mbwa ,silaha nk yote katika kuipendezesha siku kuu yao.
WANANCHI SIKU HIYO MKIWAONA MITAANI washangilieni sanaaa wako kwenye kusherehekea siku kuu yao
okey basi hiyo tare 31 August 2016 tutaandamana pamoja ila tutatofautiana kwenye mabango tutakayobebaMaandamano ya viccm nchi nzima
Wazo zuri I buy it.okey basi hiyo tare 31 August 2016 tutaandamana pamoja ila tutatofautiana kwenye mabango tutakayobeba
maandamano yatakuwepo kwani majeshi hayawezi kusambaa nchi nzima , tambua wananchi ni wengi kuliko majeshi .Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Mbowe mjanja sana, na alijuwa hiyo ni siku kwa majeshi yetu, alikuwa anajua haiwezekani kuandamanamimi niko mstari wa mbele kuzuia UDIKTETA Tanzania.
swissme
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!