Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Maandamano yatafanyika mitaani tena nchi nzima...maadhimisho yatafanyika most likely uwanja wa Taifa mbona havina mahusiano? Labda uniambie mwaka huu na kwa mara ya kwanza maadhimisho yatafanyika mitaani tena nchi nzimaAwamu hii siyo ya kufanyia majaribio. Wafanye kazi. Na wakitaka kumjaribu jemedari wajitokeze
Jamani mie mwenzenu nasubiri saaaana siku hii ya Sept. 01.Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
hayo maazimisho yanategemea muandamo wa mwwzi? mbona hayako kwwnye kalenda?Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Jukumu langu ni kuwaletea kila kizuriKaka unahaha mara umekuwa msemaji wa wizara ya Ulinzi na wizara ya Mambo ya Ndani, kweli wa jamaa wanabadilisha nyimbo watu mmnacheza wenyewe any way soma hii, The message kutoka kwa A State Man:
View attachment 386543
Labda kuandama kwa mwezi[emoji1] [emoji1]unaposema imeangukia Septemba moja kwani hizo sherehe kufanyika kwake hutegemea nini hasa?
Siku ikifika ndio utajua
Sasa kwani maana ya chama dola/tawala ni nini? Si ni kuwa na majeshi yote? Siku chadema watakapochukua dola majeshi yote yatakuwa yao na ccm watabaki weupe. Sasa hivi chadema ni weupe, wasubiri zamu yao bila ya vurugu na longolongo za kumjaribu rais wetu wa sasa.CCM bila jeshi weupe kabisa
Maandalizi ya maadhimisjo hayo ndio yanafanyika ndani ya majuma mawili? Yangu macho [emoji102]Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!
Kwa hiyo na maandamano ya CCM agosti 31 nayo ni vurugu?Na siyo maandamano, migomo na vurugu
Nadhani ni kuandama kwa mwezi kama Ramadhan vile!unaposema imeangukia Septemba moja kwani hizo sherehe kufanyika kwake hutegemea nini hasa?
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Itakumbukwa kwamba majeshi yetu yamekuwa yakifanya sherehe na maadhimisho ya aina hiyo kila mwaka na mwaka huu imeangukia Septemba Mosi siku ambayo CHADEMA watafanya maandamano waliyoyabatiza jina la UKUTA.
Swali la kujiuliza, je CHADEMA watathubutu kuandamana siku hiyo? Thubutu!