Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Kwenda na kurudi ipi hy wakati mchujo imefanyika kwenye mikoa yao, Dodoma wanaenda wale waliofaulu mchujo na sio vichwa maji waliopata 0We ni fisadi unanufaika na upigaji wa pesa za umma, kwanza mimi siyo mwalimu hakuna interview nashiriki, siwezi kuajiriwa na seriakali ya kijambazi namna hii, mimi ni mjasiriamali ila natetea watoto wa masikini kwenda na kurudi ni gharama na wengine hawana uwezo, kwani akifanya kwa siku moja kuna tatizo gani?