Nadhani tuko pamoja, kutengeneza ajira siyo kwamba yenyewe ndiyo iwe mwajiri, ni pia unalosema la kutengeneza mazingira ya ajira silipendi neno kujiajiri kwakua Lina madhara pia katika kutengeneza ajira maana watu wanapata kichaka Cha kujificha udhaifu wao.
Mbaya zaidi katika nchi zetu Africa na Tanzania in specific wengi hawaelewi hata maana ya kutengeneza ajira ni nini, ndiyo sababu hawajui chakufanya lakini wanawaambia wenzao wajiajiri wakati wao wameajiriwa na bado wanafunga masikio hata wakielezwa hawataki kufungua akili zao waelewe tunachokisema ni kipi...Ajira zimebaki zile zile alizoanzisha mkoloni.. ndiyo sababu Sina huruma Kwa hao wafanya maamuzi ambao wanataka ku shift burden Kwa raia ilihali ni jukumu lao kutengeneza ajira na kuwatengeneza waajiriwa wawe effecient and productive; mara nyingi wao ndiyo vikwazo number moja