Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Nadhani tuko pamoja, kutengeneza ajira siyo kwamba yenyewe ndiyo iwe mwajiri, ni pia unalosema la kutengeneza mazingira ya ajira silipendi neno kujiajiri kwakua Lina madhara pia katika kutengeneza ajira maana watu wanapata kichaka Cha kujificha udhaifu wao.

Mbaya zaidi katika nchi zetu Africa na Tanzania in specific wengi hawaelewi hata maana ya kutengeneza ajira ni nini, ndiyo sababu hawajui chakufanya lakini wanawaambia wenzao wajiajiri wakati wao wameajiriwa na bado wanafunga masikio hata wakielezwa hawataki kufungua akili zao waelewe tunachokisema ni kipi...Ajira zimebaki zile zile alizoanzisha mkoloni.. ndiyo sababu Sina huruma Kwa hao wafanya maamuzi ambao wanataka ku shift burden Kwa raia ilihali ni jukumu lao kutengeneza ajira na kuwatengeneza waajiriwa wawe effecient and productive; mara nyingi wao ndiyo vikwazo number moja
Kwa nini tusiwaite wajinga ?
 
Wakichaguliwa bila usaili maneno mengi, wakifanyiwa usaili maneno mengi.
Kwahiyo serikali iajiri malaki yote ya walimu wanaohitimu kila leo?
Wakati wa jakaya hatukusikia malalamiko hata mkapa na mwinyi ujinga umeanza awamu ya 5;
 
Imagine unahitaji kujaza nafasi 200. Kuna sababu gani ya kuita 15,000 candidates kwenye interview, kama sio kutengeneza mazingira ya rushwa? Unapaswa kuwa na filter itakayokupa a sensible shortlist ya candidates utakaowaita kwenye interview. Otherwise, utatia watu wengi hasara isiyokuwa ya lazima!
Wasipoitwa nongwa wakiitwa nayo nongwa
 
Sio kila anayeomba kazi huitwa kwenye usaili
Hilo nalijua, issue yangu ilikua kuona jamaa kwanini ananung'unika kuitwa watu 15000 kwenye kazi ambazo anadai nafasi zipo 200 tu ndo nika mwambia nilichosema


Ikiwa kwamba Hawa 15000 wameoneka kuwa na prior qualifications Kwanini wasiitwe ?
 
Hilo nalijua, issue yangu ilikua kuona jamaa kwanini ananung'unika kuitwa watu 15000 kwenye kazi ambazo anadai nafasi zipo 200 tu ndo nika mwambia nilichosema


Ikiwa kwamba Hawa 15000 wameoneka kuwa na prior qualifications Kwanini wasiitwe ?
Kwa kuita 15,000 applicants unaingia gharama inayoepukika na vilevile unatia watu wengine hasara ambayo siyo ya lazima. Kwanini usiite the top (best) 400 - 600 candidates?
 
Kwa kuita 15,000 applicants unaingia gharama inayoepukika na vilevile unatia watu wengine hasara ambayo siyo ya lazima. Kwanini usiite the top (best) 400 - 600 candidates?
Okay ni wazo zuri
 
Imagine unahitaji kujaza nafasi 200. Kuna sababu gani ya kuita 15,000 candidates kwenye interview, kama sio kutengeneza mazingira ya rushwa? Unapaswa kuwa na filter itakayokupa a sensible shortlist ya candidates utakaowaita kwenye interview. Otherwise, utatia watu wengi hasara isiyokuwa ya lazima!
Wangeitwa 600 kwa mfano, watu wangesema "wame-shortlist ndugu zao"!
 
Mtu anapambana chuo halafu analetwa Waziri anaitwa Mkenda anatumia “vikundi vya wahuni” kwenda kuwafanyia interview wasomi wetu wenye qualifications zote kwa kuwauliza maswali ya kishenzi dakika kumi baadae anaambiwa arudi nyumbani.
Tafadhali tupe mfano wa hayo masuali ya kishenzi....
 
Pole mwalimu, Mungu atakupa kilicho bora zaidi

Kiukweli ajira za walimu mfumo ule wa zamani ndiyo mzuri na kabambe
 
Ww unataka watu wote wale wafanyiwe usaili kwa siku ngapi, yn kila somo na kila mwanafunzi wengine waliomba nafasi mbili wote wafanye kwa siku moja?
Nyie UWT hamna akili kabisa, kwa technology ya leo unashindwa kuandaa interview ya mchujo kwa siku 1 au 3 nchi nzima kwa watu laki 1? Wapeni vijana wa DIT/Udom/Mbeya Tech n.k wawasaidie nyie mnawaza kila kitu ni dili tu
 
Alafu unawafanyia interview watu laki mbili
Ni jambo la kijinga sn na upigaji tu wa fedha za umma, kwanini usiandae application(software) wakafanya wote kwa siku moja kupitia tablets/pc kwa wakati mmoja wakajichuja wenyewe, hapo watu wametengeneza mradi wanapiga per diem kwa miezi kama miwili au mitatu, maana baada ya zoezi kuna kupanga sijui kusaisha ni utapeli tapeli tu wa kijinga. Pale Udom/CBE/Mipango/DIT/Open university/IAA/Mzumbe/uDSM/TUDARCO/SAUT/TIA/VETA n.k unashindwa kuandaa session hata 10 za dak 40 40? maana mitihani yao haizidi dak 40 lakini ni kuzungushwa siku nzima unakuja kufanya saa 10.
 
Nyie UWT hamna akili kabisa, kwa technology ya leo unashindwa kuandaa interview ya mchujo kwa siku 1 au 3 nchi nzima kwa watu laki 1? Wapeni vijana wa DIT/Udom/Mbeya Tech n.k wawasaidie nyie mnawaza kila kitu ni dili tu
Na ambaye ana masomo mawili atafanya vp kwa siku moja
 
Zamani kada almost zote watu walitoka vyuoni na kupangiwa vituo vya kazi. Hali ikabadilika mahitaji yakawa madogo kuliko wahitimu na sasa imefikia kada ya ualimu. Kuwapata hao wachache interview inahusika mbona kada nyingine hawalalamiki?
 
Na ambaye ana masomo mawili atafanya vp kwa siku moja
Kwani wewe hujawahi kufanya masomo mawili sekondari tena Math + Civics kwa siku moja tena kila somo lina masaa 3? waulize kama interview yao kama inazidi dak 20? unamtoa mtu Musoma to Dodoma kwenda kumhoji kwa dak zisizozidi 20 na technology hii?
 
Kwani wewe hujawahi kufanya masomo mawili sekondari tena Math + Civics kwa siku moja tena kila somo lina masaa 3? waulize kama interview yao kama inazidi dak 20? unamtoa mtu Musoma to Dodoma kwenda kumhoji kwa dak zisizozidi 20 na technology hii?
Mwanafunzi kufanya mtihani miwili kwa siku hy inaeleweka tangu zamani, usaili mmoja kufanyika kwa siku moja ja hy n tangu zamani inaeleweka.
Mbona watu wa afya hawakulalamika kama nyie waalimu, kwan mna matatizo gn nyie waalimu?
 
Mwanafunzi kufanya mtihani miwili kwa siku hy inaeleweka tangu zamani, usaili mmoja kufanyika kwa siku moja ja hy n tangu zamani inaeleweka.
Mbona watu wa afya hawakulalamika kama nyie waalimu, kwan mna matatizo gn nyie waalimu?
We ni fisadi unanufaika na upigaji wa pesa za umma, kwanza mimi siyo mwalimu hakuna interview nashiriki, siwezi kuajiriwa na seriakali ya kijambazi namna hii, mimi ni mjasiriamali ila natetea watoto wa masikini kwenda na kurudi ni gharama na wengine hawana uwezo, kwani akifanya kwa siku moja kuna tatizo gani?
 
Back
Top Bottom