Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mleta mada unalalamika bure pasipo hoja. Suala la usaili kabla ya kuajiriwa ni jambo la msingi katika fani zote dunia nzima. Unaweza kuwa na maoni tofauti kuhusu namna ya kuendesha usaili lakini huwezi kukwepa uwepo wa usail.
Kwanini mwalimu yeye tu hataki kusailiwa?
Kama kuna maelfu ya wahitimu wa ualimu mtaani huku nafasi za kuajiriwa zikiwa chache, kwanini usaili usitumike kama ndio njia bora ya kuwashindanisha?
Kwanini mwalimu yeye tu hataki kusailiwa?
Kama kuna maelfu ya wahitimu wa ualimu mtaani huku nafasi za kuajiriwa zikiwa chache, kwanini usaili usitumike kama ndio njia bora ya kuwashindanisha?