Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Kwenda na kurudi ipi hy wakati mchujo imefanyika kwenye mikoa yao, Dodoma wanaenda wale waliofaulu mchujo na sio vichwa maji waliopata 0
 
Nadhani hizi lawama zote ndio matokeo ya sera ya elimu bure...wasomi wamekuwa ni wengi sana kuliko kazi.
Walimu nyie ndio mnaotoa mitihani kwa wanafunzi afu leo hii mnaogopa mitihani ya interview....ni aibu sana!
 
Kwenda na kurudi ipi hy wakati mchujo imefanyika kwenye mikoa yao, Dodoma wanaenda wale waliofaulu mchujo na sio vichwa maji waliopata 0
Wewe huna akili hujui hata kinachoendelea, hakuna aliyeenda Dodoma hata mmoja wote kwenye mikoa yao, kwani wote wapo Arusha, Sindiga, Moshi, Mwanza, Morogoro mjini hawatoki Wilayani/vijijini ndani ndani? kwanini interview iwe ndefu hivi? why kusiwe na application wakafanya online?
 
Watu wa afya pamoja na kada zngn wangekuwa wanalalamika hv kama nyie waalimu bc nngekubali usaili una shida ila wanaolalamika ni waalimu pekee yao kisa wanaogopa usaili πŸ˜‚ kama mwalimu anaogopa mtihani cjui mwanafunzi atakayemfundisha aogope nn
 
Watu wa afya pamoja na kada zngn wangekuwa wanalalamika hv kama nyie waalimu bc nngekubali usaili una shida ila wanaolalamika ni waalimu pekee yao kisa wanaogopa usaili πŸ˜‚ kama mwalimu anaogopa mtihani cjui mwanafunzi atakayemfundisha aogope nn
UWT hamjawahi kumiliki akili timamu, tuambie ni nchi gani inafanya usaili wa zaidi ya siku 50 kwa kada moja?
 
UWT hamjawahi kumiliki akili timamu, tuambie ni nchi gani inafanya usaili wa zaidi ya siku 50 kwa kada moja?
Kada moja ila vitengo tofauti, hao hujaelewa nn ndugu mwalimu uliyepata 0?
Kada n ualimu ila kila siku na somo lake, au kisa nyie waalimu hamna perdiem ndo mana unaona wivu wengine kula perdiem?
 
Kada moja ila vitengo tofauti, hao hujaelewa nn ndugu mwalimu uliyepata 0?
Kada n ualimu ila kila siku na somo lake, au kisa nyie waalimu hamna perdiem ndo mana unaona wivu wengine kula perdiem?
Tulia wewe UWT, kwahiyo masomo yapo 50?
 
Kada moja ila vitengo tofauti, hao hujaelewa nn ndugu mwalimu uliyepata 0?
Kada n ualimu ila kila siku na somo lake, au kisa nyie waalimu hamna perdiem ndo mana unaona wivu wengine kula perdiem?
Tulia wewe UWT, kwahiyo masomo yapo 50?
 
Sasa kama umepita huko kote unaogopaje usaili πŸ˜‚
Usaili ni maamuzi ya mtu mmoja au wawili kuamua kukupa alama watakayo. Ama wakupitishe ama wakunyonge, hakuna kipimo cha kitaaluma kinachoamua usahihi wa interview.
 
Usaili ni maamuzi ya mtu mmoja au wawili kuamua kukupa alama watakayo. Ama wakupitishe ama wakunyonge, hakuna kipimo cha kitaaluma kinachoamua usahihi wa interview.
Kwan ht chuo pia c hvy hvy n mtu mmoja anaamua akupe alama ipi.
Kwahy chuo umependelewa kupewa alama kubwa ndo mana unaogopa alama za usaili?
 
Waalimu waliofeli usaili wanatema nyongo huku πŸ˜‚

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…