Sera ya faragha MIC Tanzania Public Limited Company - tiGo

Sera ya faragha MIC Tanzania Public Limited Company - tiGo

Polisi ni chombo Cha kisheria mfano wewe ni jambazi umepanga nyumba unafanya matukio .Hawahitaji kibali Cha kumhoji mwenye nyumba wako kukuhusu wewe Kama customer wa mwenye nyumba.Ataitwa polisi au polisi watafika kwake kumhoji kuhusu huyo jambazi wake customer . Kwenye mitandao ya simu wewe mpangaji tu mwenye nyumba ni kampuni ya simu ukifanya uhalifu au ugaidi polisi ruksa kudai information kwa mwenye nyumba sababu sio kazi za mwenye nyumba kutunza Siri za jambazi au mhalifu au gaidi lazima atamwaga kila kitu
Mahakama ndiyo chombo pekee chenye mamlaka ya kuamrisha kupewa taarifa hizo za Siri tu
 
Kiuhalisia sio Tgo tu! Nakumbuka nliwai pata shida na mtu, polisi walifanya kila kitu kujua mawasiliano yake yooote toka VODACOM....shemeji yangu kipindi flan akapata taarifa zoooote za mkewe toka Tgo na sio kupitia polisi, aliwasliana tu na mtu Tgo akamtoa masenti akamprintia
Unatania?

Kuna vitu [as a person au mteja binafsi wa kampuni], anaweza kuvipata kwenye kampuni ya simu bila shida ili mradi athibitishe yeye ndiye mwenye number ya simu husika; mfano, statement ya miamala yako ya fedha iwe Mpesa, halopesa au tigopesa au airtel money nk

Ni kinyume cha sheria mtu kutaka taarifa za siri za simu ya mtu mwingine hata kama ni mkeo, mumeo, mwanao nk isipokuwa kwa kwa sababu maalumu na kwa amri au idhini ya mahakama...

Kama walikufanyia hivyo, washitaki tayari wewe ni bilionea hapo. Watakulipa mapesa mengi sana...!!!
 
Mahakama ndiyo chombo pekee chenye mamlaka ya kuamrisha kupewa taarifa hizo za Siri tu
Sheria unafikiri hazipo? zipo tena nzuri lakini rushwa na utawala usiofuata sheria ndio maana yote haya yanatokea
 

Tumebishana sana kuhusu alichokifanya bwana yule kule kwa pilato tuangalie sera ya faragha ya kampuni inasemaje kuhusu kutunza siri za wateja pitia hiyo sera halafu tujadiri kama sera ndio mbovu au yeye bwana wakili kakosea au hakufuata utaratibu wa kutoa data za mteja .

MIC TANZANIA PUBLIC LIMITED COMPANY​

  • Legal Purposes: includes any treatment justified by the need to comply with applicable legal requirements, such as meeting a requirement of a governmental or administrative entity in the exercise of its functions or by order of a competent judicial authority, or to protect the rights, property or safety of Tigo, as well as the safety of our customers, employees and the general public.
Tigo does not market your data to third parties.

MIC Tanzania Public Limited Company, (hereinafter “Tigo”, “us” or “our”), as the entity responsible for processing the personal data of users of the web portal www.tigo.co.tz (“Portal”) recognizes the importance of protecting the privacy and confidentiality of users' data (hereinafter “user” or “you”), and provides you with this Privacy Notice (“Notice”), designed in compliance with our global data protection policies and the applicable laws and regulations of Tanzania.

Through the Portal, Tigo may collect certain information about you. This Notice informs you about the processing of your personal data, in particular (1) what data we collect about you, (2) how we collect it, (3) for what purpose, (4) what your rights are and how you can exercise them, (5) with whom it is shared, (6) how long it is kept, (7) what law applies, and (8) Tigo's contact information, as the party responsible for processing your personal data.

Tigo requests your consent to collect, use, store, process and ultimately manage your personal data, including data used for advertising and commercial purposes, in compliance with the terms of this Notice. In the event of a conflict between the provisions of the Notice and other policies or terms and conditions available to users through other means, this Notice shall prevail. To obtain information about the terms applicable to the use of the Portal, we suggest you refer to our terms and conditions

Tigo may make changes to the Notice from time to time. In the event that we make material changes to the Notice, we will post those changes through the Portal. You will be able to determine when the Notice was last revised in the "version history" at the end of the document.

What personal data do we collect about you?​

In order to provide you with products or services, or access to our Portal, Tigo may collect the following personal data:

  • registration information: your full name, age, telephone number, e-mail address, mailing address, payment information, billing address or username and password.
  • information about your use of the Portal: the network address and operating system of your computer, type of browser used, the website from which you linked to our site, your activity on our Portal, as well as your viewing history, the time and date you visited and purchased products and services through the Portal.
  • information about your location.
  • mobile application information based on the websites visited and applications downloaded from the Tigo network.
In addition, Tigo informs you that it does not request or process, to the best of its knowledge, personal data of minors under the age of 18.

How do we collect your personal data?​

We obtain your personal data either because you provide it directly to us (e.g. you register through our Portal or subscribe to receive news and information from Tigo, or contact us for any other reason via email, telephone, fax, or by written means or personally at any of our business premises or offices), we obtain it through third parties, or it is public information.

For what purpose do we process your personal data?​

Tigo may process your personal data for any of the following purposes:

  • Adequate provision of services: Includes all activities aimed at analyzing and developing the feasibility and execution of the Portal’s service, such as: determination of consumption, maintenance and improvement of services and the Web Portal, customer service, customization of content, services and offers, business plans, customer satisfaction, creation of databases, analysis of information and data, creation of key performance indicators (KPI) applications, billing, security, quality control and, in general, all information necessary to comply with our product or service contracts, as well as applicable laws and regulations.
  • Tigo's Business Purposes: Includes any activity aimed at presenting offers, promotions, products, advertisements, opportunities, sweepstakes, campaigns, loyalty programs, customer retention and, in general, information on new products and services, already requested or contracted, or that may be of interest to customers and users.
  • Relationship with target audience. Includes all activities oriented to the management of relations with our affiliates and subsidiaries, shareholders, authorities and community in general, in accordance with the current legal framework, in the development of business management for the adequate fulfillment of the corporate purpose.
  • Legal Purposes: includes any treatment justified by the need to comply with applicable legal requirements, such as meeting a requirement of a governmental or administrative entity in the exercise of its functions or by order of a competent judicial authority, or to protect the rights, property or safety of Tigo, as well as the safety of our customers, employees and the general public.
Tigo does not market your data to third parties.

What are your rights regarding the processing of your personal data?​

You can ask Tigo about your personal data as well as request access to or correction of your personal data. You can also object to Tigo using your personal data to send you advertising content. You can contact us via the contact information provided at the end of this Notice. You can also access or rectify your personal data through the Portal, in the Contact us section or the Tigo Account.

With whom do we share your personal data?​

In compliance with applicable laws, the recipient of your personal data is Tigo, who is also responsible for guarding and storing your personal data. However, Tigo may share your personal data with third parties who provide services to Tigo such as storage services, order fulfillment, collection and shipping, surveys, customer service, or advertising. In addition, Tigo may share your personal information with other Tigo entities, or in the event of a merger, acquisition, sale of company assets, or transition of service to another provider. Tigo may share your personal data with other jurisdictions that have data protection laws other than those established in Tanzania, by written order of a competent judicial authority or where permitted in compliance with the law.

The use and communication of personal data will be made through physical and electronic security systems and reasonable procedures to prevent alteration, accidental or unlawful destruction, loss, or unauthorized processing or access to your personal data.

Applicable law and jurisdiction​

The interpretation, use, scope and termination of this Notice is governed by the laws of the United Republic of Tanzania and, in case of dispute, the courts of Tanzania will have exclusive jurisdiction.

How long your personal data will be stored?​

Tigo stores your personal data only for as long as is necessary to fulfill the purpose for which it was collected, and as required by applicable local regulations. The data will be kept in accordance with the authorization granted for its management, unless the holder revokes it.

Tigo contact information​

Name: MIC Tanzania Public Limited Company

Legal address: New Bagamoyo Rd, Dar es Salaam

Postal address: P.O. Box 2929

Email: customercare@tigo.co.tz
Nilikuwa sielewi kwa nini njia ya haja kubwa inaitwa Tigo,ila sasa nimeelewa
FB_IMG_1635927509330~2.jpg
 
Polisi ni chombo Cha kisheria mfano wewe ni jambazi umepanga nyumba unafanya matukio .Hawahitaji kibali Cha kumhoji mwenye nyumba wako kukuhusu wewe Kama customer wa mwenye nyumba.Ataitwa polisi au polisi watafika kwake kumhoji kuhusu huyo jambazi wake customer . Kwenye mitandao ya simu wewe mpangaji tu mwenye nyumba ni kampuni ya simu ukifanya uhalifu au ugaidi polisi ruksa kudai information kwa mwenye nyumba sababu sio kazi za mwenye nyumba kutunza Siri za jambazi au mhalifu au gaidi lazima atamwaga kila kitu
Hii mifano ndo inapotoshaga watu. Unafananishaje mkataba wa upangishaji chumba na wa kampuni inayosajiliwa rasmi nchini kwa masharti ya kimataifa? TIGO si NGO au vicoba, kuna tofauti kubwa.
Pia siamini kuwa katika hiyo TIGO kila ofisa ni msemaji rasmi wa kampuni kiasi kwamba anaweza toa taarifa za wateja kwa kupenda kwake binafsi, zaidi sana kampuni ya kigeni. Huyo mwanasheria ana hisa ngapi hapo? Mfano (extreme): Elezea jinsi ambavyo polisi anavyoweza ingia katika ofisi au nyumbani kwa balozi na silaha zake kumkamata balozi bila kutimiza itifaki tarajiwa! Kila taasisi ina itifaki tarajiwa za kimfumo au kisheria. Kwa wenye kumbukumbu huenda wakapitia staili aliyotumia Lissu kufanikisha takwa lake kuhamia huko aliko - kuruhusiwa kutumia bunduki, si leseni ya kuua usivyo vipenda ...nk, hata kama umepewa bunduki kwa mujibu wa sheria
 
Nilikuwa sielewi kwa nini njia ya haja kubwa inaitwa Tigo,ila sasa nimeelew
Hawa tiGO sasa wanatakiwa wazikane zile kauli alizotoa yule shahidi aliyejitutumua kuwa msomi wakili na kutuonyesha waTz kuwa taarifa za wateja huko haziko salama. Heri angelikaa kimya.
Wateja sasa ni juu yao kuamua kama taarifa zao zina usalama kwao huko tiGO. Very poor business ethics, to say the least
 
Back
Top Bottom