Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,305
Anachokifanya JIWE sasa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi wao hautokani na ugawaji wa majimbo. Ni ishu ya tangu ukoloni kama ilivyo Rwanda ama Burundi. Jingine?Hao Kenya wana matabaka ya hatari. Wana jamii yenye kuishi kwa kubaguana hawana umoja.
Watu wanadhani utatuzi wa shida zao utaletwa na majimbo.Wacha uongo! Baada ya KANU kuondoka madarakani nini kimefanyika kikubwa Kenya zaidi rushwa kuhalalishwa na rasilimali za nchi kushikiliwa na familia chache huku ukabila ukiendelea kutamalaki kila kona? Waliolilia katiba mpya kenya wameipata na shida zipo palepale.
Wananchi maskini wanabaki kusoma hadithi za enzi zile za maziwa ya nyayo tuu
Maendeleo ni action sio blah blah
Ubaguzi wao hautokani na ugawaji wa majimbo. Ni ishu ya tangu ukoloni kama ilivyo Rwanda ama Burundi. Jingine?
Marekani, Hispania, Ujerumani, canada, Nigeria,..... kuna majimbo pia, utaifa wao umekufa? Ili kulisaidia taifa lazima tutuo hoja zenye ushahidi. Rasilimali zetu hazitumiki na hazilindwi ipasavyo kwakuwa zinaonekana kama vile hazina mwenye, mwenyewe yuko Ikulu. Serikali ya jimbo ina tabia ya kuthamini na kuwa na wivu na rasilimali zilizomo jimboni. Serikali ya jimbo ina tabia ya kubuni na kutumia kila kitu ndani ya jimbo ili kuinua hali ya maisha ya wanajimbo wake na kuichangia serikali kuu pia kwaajili ya zile kazi za kitaifa kama ulinzi, usalama, fedha, nk. Tofauti na sasa ambapo wilaya na mikoa inasubiri serikali kuu ilete maendeleo na matumizi ya wilaya na mikoa.Nimesikia chama kimoja kinazungumzia nchi kuigawa kwenye majimbo ya kiutawala na uendeshaji. Kwangu mimi kwa nchi ambayo imekuwa kwenye utawala wa mikoa kwa miaka zaidi ya 50 na kwa mfumo wa kugawana mapato kupitia serikali kuu na serikali za mitaa kwa baadhi ya mapato haileti mantiki kubadili mfumo kwenda kwenye majimbo ambayo yanaweza kuua utaifa na kuleta mfarakano. Mfumo wa sasa unaondoa u-mimi na maendeleo ya uchumi yanayopishana- Regional economic imbalances - ambao utaacha baadhi ya maeneo kwenye umasikini mkubwa. Baadhi ya athari zinazoweza kujitokeza ni pamoja na:
1. Maeneo yenye raslimali kidogo kuendelea kuwa maskini na maeneo mengine kuwa tajiri na hivyo kuwa na mchango mdogo wa GDP
2. Ajira ndogo kwenye baadhi ya maeneo yenye raslimali chache na hivyo ongezeko la idadi ya watu kwenye maeneo yenye utajiri wa raslimali
3. kila jimbo kuwa na sheria zake za kiutawala, bunge dogo, polisi nk hali inayoweza kujenga mwelekeo wa kujitenga. Rejea matatizo yakujitenga kwa Biafra Nigeria miaka ya nyuma.
4. Nchi zenye majimbo mf Msumbiji hazina hakikisho la maendeleo endelevu kuzidi ambazo hazina utaratibu huo ie Tanzania
5. Mfumo huo utakuwa na gharama kubwa kuuanzisha
Kimsingi hadi sasa mfumo uliopo hauna shida changamoto kubwa ni kuweka mifumo mizuri ya udhibiti matumizi na mapato ya serikali kwa kuyagawa kwa haki ili kila eneo la serikali liweze kunufaika. Na hususani kuimarisha mfumo wa Halmashauri uweze kukabiliana na changamoto za kiuchumi kwa kila eneo. Iwapo kuna changamoto za mgawanyo sawia basi tupitie upya sera na sheria zetu ndani ya mfumo uliopo tuboreshe.
6. Hata hivyo, Kwa maoni yangu badala ya utawala wa majimbo ni afadhali kuweka kanda za kiuzalishaji ili kuchochea uchumi wa kimaeneo kulingana na mazingira ya kiuchumi na uzalishaji kwa kila eneo.
Tofauti hipo tena kubwa sana uwezi fananisha kanda ya uchumi na kanda za majimboHakuna tofauti yeyote
FafanuaTofauti hipo tena kubwa sana uwezi fananisha kanda ya uchumi na kanda za majimbo
kanda za majimbo zinahitaji uazishwaji idara nzima nzima za kiuongozi kama polisi,bunge la seneta na idara nyingi tu kiuongozi na kisheriaFafanua
Kwani sasa hatuna polisi??? Haiwezi kutamkwa tu kuwa watakuwa wanahudumu eneo la jimbo fulani na ikawekwa kisheria???kanda za majimbo zinahitaji uazishwaji idara nzima nzima za kiuongozi kama polisi,bunge la seneta na idara nyingi tu kiuongozi na kisheria
kanda za uchumi kutakuwepo na uwekezaji zaidi kwenye mihundo mbinu ya kiuchumi kama usafirishaji,umeme na masoko kulingana na kanda usika mfano dar es salaam ni kanda ya uchumi katika nyanda ya biashara zaidi kuliko uzalishaji
Umeona nyomi la Lissu Geita leo..huyo mtu wenu hata anakojifanya kwao hawamtaki.....Yaani wewe kwa akili yako unajiamini kabisa kuwa nchi haijaendelea, kama WB na IMF wameiweka tanzania kufika uchumi wa kati wewe nani useme haijapata maendeleo.
Uthibitisho wa ubovu wa sera yenu ya MAJIMBO mtauona kuanzia tarehe 28/octoba ndiyo utawajua watanzania kuwa ni wapenda utaifa na uzalendo. kufikia tarehe 30 octoba, Lissu atakuwa amekimbia nchi kwa aibu, lakini kwa kuwa anahitajika kujibu hoja pale mtaa wa bibi titi atashuhudia aibu yake akiwa hapahapa.
Acha kulinganisha maembe na mikoba!Kwahiyo Wamarekani hawana utaifa wala uzalendo au?
Taja mataifa yaliyoathirika kutokana sera ya majimbo? Acheni ukilaza na kukariri mambo.Sera ya majimbo itaua utaifa na uzalendo
Upo uzalendo wa Aina tofauti kwa jinsi tulivyo jipambabua kamataifa hivi leo, Kwanza ni uzalendo maslahi na pili ni uzalendo halisi. Hivyo hapa tulipo mengi yanayohitaji mabadiliko ili kuelekea uzalendo wakweli. Sasa hivi uzalendo maslahi umemeenea kwa mfumo uliopo kwa kichaka Cha uzalendo.Nimesikia chama kimoja kinazungumzia nchi kuigawa kwenye majimbo ya kiutawala na uendeshaji. Kwangu mimi kwa nchi ambayo imekuwa kwenye utawala wa mikoa kwa miaka zaidi ya 50 na kwa mfumo wa kugawana mapato kupitia serikali kuu na serikali za mitaa kwa baadhi ya mapato haileti mantiki kubadili mfumo kwenda kwenye majimbo ambayo yanaweza kuua utaifa na kuleta mfarakano. Mfumo wa sasa unaondoa u-mimi na maendeleo ya uchumi yanayopishana- Regional economic imbalances - ambao utaacha baadhi ya maeneo kwenye umasikini mkubwa. Baadhi ya athari zinazoweza kujitokeza ni pamoja na:
1. Maeneo yenye raslimali kidogo kuendelea kuwa maskini na maeneo mengine kuwa tajiri na hivyo kuwa na mchango mdogo wa GDP
2. Ajira ndogo kwenye baadhi ya maeneo yenye raslimali chache na hivyo ongezeko la idadi ya watu kwenye maeneo yenye utajiri wa raslimali
3. kila jimbo kuwa na sheria zake za kiutawala, bunge dogo, polisi nk hali inayoweza kujenga mwelekeo wa kujitenga. Rejea matatizo yakujitenga kwa Biafra Nigeria miaka ya nyuma.
4. Nchi zenye majimbo mf Msumbiji hazina hakikisho la maendeleo endelevu kuzidi ambazo hazina utaratibu huo ie Tanzania
5. Mfumo huo utakuwa na gharama kubwa kuuanzisha
Kimsingi hadi sasa mfumo uliopo hauna shida changamoto kubwa ni kuweka mifumo mizuri ya udhibiti matumizi na mapato ya serikali kwa kuyagawa kwa haki ili kila eneo la serikali liweze kunufaika. Na hususani kuimarisha mfumo wa Halmashauri uweze kukabiliana na changamoto za kiuchumi kwa kila eneo. Iwapo kuna changamoto za mgawanyo sawia basi tupitie upya sera na sheria zetu ndani ya mfumo uliopo tuboreshe.
6. Hata hivyo, Kwa maoni yangu badala ya utawala wa majimbo ni afadhali kuweka kanda za kiuzalishaji ili kuchochea uchumi wa kimaeneo kulingana na mazingira ya kiuchumi na uzalishaji kwa kila eneo.
Wakatolika hawana umoja ........ ,bona dunia nzima tunajuana Huyu ana akili kama za MEKO hawanaga mudawakusomaJumlisha na kanisa Katoliki linamfumo wa majimbo
Mkuu umeenda mbali sana kuna Majimbo hizi nchi jirani ambazo hazitajwi... watutajie ni nchi ipi wenyewe hawana uzalendo na taifa lao kisha watuambie ni kwanini hapa kwetu kila uchao tunapoteza upendo na mshikamano wa kitaifa?Kwahiyo Wamarekani hawana utaifa wala uzalendo au?
KabisaWakatolika hawana umoja ........ ,bona dunia nzima tunajuana Huyu ana akili kama za MEKO hawanaga mudawakusoma