Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Sera ya Majimbo mimi kwa uelewa wangu ni sawa na familia ya baba na mama ambao wamefanikiwa kuwa na watoto na wajukuu... Ishara na kitovu cha ugatuzi wa madaraka!
Kila mtoto/mjukuu atakua nae ataanzisha familia yake "jimbo lake".
Serikali kuu kama baba na mama... Serikali za majimbo kama uzao wao...!! Na uhusiano/ushirikiano unaendelea vizuri tu!
Kuna mambo mengi muhimu tu ya kuendelea kutegemea kutoka kwa baba na mama... Lakini kuna mengine mengi tu ambayo kila jimbo linatakiwa liwajibike kuyamaliza...
Common sense inaelekeza kuwa mtu mzima kuendelea kumtegemea baba na mama kwa kila jambo ni udumavu wa akili na maendeleo...!! Ebu fikiria kama inaingia akilini baba na mama ndo wakupangie ama wakuamulie kila kitu kwenye maisha yako ndani ya jimbo lako...
Kama binadamu walivyo na changamoto; mfumo wa majimbo nayo lazima utakuwa na changamoto zake... Jukumu letu ni kuzibaini changamoto na kuzitatua ipasavyo...
Itoshe tu kusema kuwa faida za majimbo kwa "linchi likubwa" kama Tanzania ni kubwa kuliko hasara zake...!
Mfumo wa sasa ni wa kikoloni na kinyonyaji! Ebu fikiria juzi kwenye kampeni JPM kafika eneo fulani alafu anampigia Jafo simu atume pesa ili ikafanye kazi ya kukamilisha barabara...!! Ni wazi kuwa wale wananchi wangelimaliza lile tatizo wenyewe Kama lingekuwa ndani ya uwezo wao bila kumsumbua Jafo/JPM ambao hakuona umuhimu wa kulimaliza kabla...
Yaani uzalishaji tufanye sisi... kodi tulipe sisi alafu maji ya matope tunywe sisi...na wewe hadi ujisikie ndo utupatie ufumbuzi... Kwingineko tunaambiwa kuwa tutaendelea kukosa maendeleo kisa hatuchagui kama unavyotaka wewe...
Yaani viongozi wote uwalete wewe.... Why tukaliwe kiasi hiki...!!
Woga wetu ndo kikwazo cha maendeleo yetu...!!!
Kila mtoto/mjukuu atakua nae ataanzisha familia yake "jimbo lake".
Serikali kuu kama baba na mama... Serikali za majimbo kama uzao wao...!! Na uhusiano/ushirikiano unaendelea vizuri tu!
Kuna mambo mengi muhimu tu ya kuendelea kutegemea kutoka kwa baba na mama... Lakini kuna mengine mengi tu ambayo kila jimbo linatakiwa liwajibike kuyamaliza...
Common sense inaelekeza kuwa mtu mzima kuendelea kumtegemea baba na mama kwa kila jambo ni udumavu wa akili na maendeleo...!! Ebu fikiria kama inaingia akilini baba na mama ndo wakupangie ama wakuamulie kila kitu kwenye maisha yako ndani ya jimbo lako...
Kama binadamu walivyo na changamoto; mfumo wa majimbo nayo lazima utakuwa na changamoto zake... Jukumu letu ni kuzibaini changamoto na kuzitatua ipasavyo...
Itoshe tu kusema kuwa faida za majimbo kwa "linchi likubwa" kama Tanzania ni kubwa kuliko hasara zake...!
Mfumo wa sasa ni wa kikoloni na kinyonyaji! Ebu fikiria juzi kwenye kampeni JPM kafika eneo fulani alafu anampigia Jafo simu atume pesa ili ikafanye kazi ya kukamilisha barabara...!! Ni wazi kuwa wale wananchi wangelimaliza lile tatizo wenyewe Kama lingekuwa ndani ya uwezo wao bila kumsumbua Jafo/JPM ambao hakuona umuhimu wa kulimaliza kabla...
Yaani uzalishaji tufanye sisi... kodi tulipe sisi alafu maji ya matope tunywe sisi...na wewe hadi ujisikie ndo utupatie ufumbuzi... Kwingineko tunaambiwa kuwa tutaendelea kukosa maendeleo kisa hatuchagui kama unavyotaka wewe...
Yaani viongozi wote uwalete wewe.... Why tukaliwe kiasi hiki...!!
Woga wetu ndo kikwazo cha maendeleo yetu...!!!