Bila kuficha ukweli, thinking yetu watanzania at large, ni ndogo Sana. Hivi mbona tunaogopa kufikiri na kujaribu Mambo? Hivi hata Kama ni hayo majimbo wanayoyasema Chadema( ambayo Sasa yana mfumo almost wa kile tunachoita kanda Sasa ) ukabila unakujaje hapo? Kwa maana ya Chadema, inclusivity ya watu na makabila yao ni kubwa kuliko ulivyomgawanyo wa mikoa ya Sasa. Hivi tunakwama wapi? Unajua akili inayoleta mabadiliko ni ile inayojaribu Mambo. Mbona tumebweteka tu? Tunaogopa hata kufikiri vitu vipya vinavyoweza kutupeleka mahali bora zaidi. Hivi bado unahitaji nini juu ya mfumo huu ambao upo miaka yote na tuko hapa tu. Better try new things, new ideas, etc. Kutofikiri na kutoishi kwa ubunifu ni Kama kukosa wataaluma( professionals) katika maisha ya kawaida. Wapi mtapata dawa bora ya magonjwa sugu Kama watu hawaendi maabara) wapi kilimo Cha korosho Kita advance Kama hakuna chuo Cha Naliendele utafiti( watu wanaofikiri na kujaribu new methods) za kuongeaza production? Developments of any kind is all about thinking and creativity. People who don't deeply think are non creative. No wonder, we are a status quo kind of a country. We doubt everything, we never try new systems, we fear any move that seems not to be traditional. Infact, we are people who are tradition oriented and so contented with everything, bad or good.
Hii unanikumbusha back in days wakati Baba wa Taifa alivyosema wakati fulani kwenye hotuba yake." You people, think, think, think. Aliendelea " if you don't think you will be conserved like animals.
Lakini pia kumbukeni ubongo unaoshughulishwa nao ni raslimali. Ulinganifu mahali popote haitatokea, manake hata Sasa bado watu wanalalamika baadhi ya mikoa kuwa na maendeleo kuliko mikoa mingine.
Lakini unaonaje watu wenye rasilimali ndogo wakifikiri( wakitumia brain capital ukitaka) watabadilisha maisha yao na kuja na means nyingine kwa ajili ya maendeleo yao.
Tukubaliane ndg zangu, a thinking nation is progressive and non thinking, and superficial thinking nation is automatically retrogressive.
Tusiogope kujaribu Mambo mapya.