Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio mkombozi wa Taifa

Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio mkombozi wa Taifa

PSEUDOPODIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
392
Reaction score
798
Mimi mkazi wa Songea Kitai, nilikuwa naumia sana kuona katika eneo letu ndipo yanapatikana makaa ya mawe yanayolisha karibu viwanda vyote nchini, na mengine yanasafirishwa kwenda Rwanda, Uganda, Burundi na Kenya na kuingizia nchi mamilioni ya pesa. Chakusikitisha barabara katika eneo letu ni Mungu tu ndo anajua, Yaani inafika kipindi cha mvua magari yanashindwa hata kupita kwenda kupakia makaa, barabara ni mbovu, eti suluhisho wameona matipa ndo yaende kupakia huko migodini yalete mjini ndo yapakiwe kwenye magari na kusafirishwa.

Kinachoniuma ni kuwa pamoja na mamilion tunayoingiza, pia sisi ni wakulima wakubwa, tuna lisha nchi na kuingizia mamilioni, isitoshe kuna uvuvi katika ziwa Nyasa vyote hivi vinaingiza mamilioni, lakini tunashindwa kujengewa barabara , Maji safi ya kunywa kwetu ni ndoto, hospital paka uende mjini, umeme tunauona tukienda mjini.

Naamini hii Sera ya majimbo kwamba kile kinachopatikana sehemu kilete maendeleo kwanza eneo lile husika ingekuwa imeanza siku nyingi basi wakazi wa Kitai tungekuwa kama calfonia,.

Kuna maeneo hapa Tanzania yatakuwa kama ulaya, ndio maana nchi kama Afrika kusini miji yake karibu yote imeendelea. Fikiri jimbo la Iringa lingekuwaje nafkiri kama Durban, Mtwara wana gesi, wana korosho, wana uvuvi wangekuwa kama Chicago. Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya sijui yatakuwaje.

Kwa kifupi hii Sera kwangu Mimi ndio Sera rahisi zaidi ya kuleta maendeleo kwa kurudisha mamlaka ya matumizi ya pesa kwa wananchi wa eneo husika. Wao ndo wanaamua tufanye nini na hii pesa yetu. Nafkiri hii ingekwepo chato wasinge amua kujenga uwanja wa ndege, Bali wangetumia zile pesa kwa jambo lenye manufaa zaidi ya uwanja. Pia wananchi wasingenunua ndege bali hiyo hela wangefanyia jambo lenye manufaa zaidi.

Pia Sera ya majimbo itapunguza mtu mmoja kuwa na maamuzi ya nchi nzima na kufanya aabudiwe kama mungu. Maana asingekuwepo mtu wa kusema msimchagua Fulani sileti maendeleo kwenu. Maana maendeleo yatakuwa yanaamuliwa na wananchi wenyewe na si kama ilivyo sasa amabapo pesa zote za nchi nzima zinakusanya sehemu moja alafu rais ndo anapanga afanye nini na hizo pesa. Matokeo yake ndo tunaon mtu anajiamulia tu sijui ajenge uwanja wa ndege, sijui anunue ndege, anaona pesa nyingi paka nyingine anaona bora agawe barabarani.

Pia hii Sera itapunguza ufisadi kwa kiasi kikubwa, maana wananchi watakuwa wanajua mapato na matumizi ya majimbo yao. Kama kuna ufisaidi mahali itakuwa rahisi kujulikana, tofauti na sasa ambapo CAG kasema kuna ufisadi wa Trillion 1.5 hazijulikani zilipo, ila serikali wanasema hakuna pesa iliyopotea na matokeo yake CAG akafukuzwa kazi kwa kusema ukweli. Pia tungekuwa tunajua kuwa tumenunua ndege kwa kiasi gani, tumejenga uwanja kwa kiasi gani tofauti na sasa ambapo gharama za ndege anajua mtu mmoja tu. Na gharama za uwanja anajua mtu mmoja tu Yaani yeye ndo mnunuzi, ndo dalali, ndo mtoa pesa, ndo mwandika mkataba, ndo msaini mkataba, ndo mwanasheria, ndo mhasibu, ndo daktari ndo kila kitu.

Faida za majimbo ni nyingi sana siwezi kuziandika zote, lakini nchi zote zenye mfumo wa majimbo karibu zote zimepiga hatua katika sekta ya maendeleo.

#LissuTumekuaminiTuvushe#
 
Mkuu, hii Sera ni Nzuri Ukiwa katika Jimbo, ama mkoa wenye Resources nyingi na kutoshereza kujiletea maendeleo, swali langu ni kwamba, Kwa kuwa mikoa yenye utajiri wa lasirimali za kutosha huwenda zisifikie hata mikoa 8, hiyo mikoa mingine wataweza kuvumilia umaskini Wao uliopo ktk mikoa Yao ukiwemo mkoa wa Singida anakotokea Raisi wa mitandaoni?

Sera ya majimbo, ni Nzuri Sana mkiwa na eneo kuuubwa la nchi, nchi yetu ni ndogo na inaweza kulinganishwa na Jimbo moja tu la Taxes Maerekani, maana yake Ni kwamba, Jimbo la Taxes, utajiri ulio katika Baadhi ya maeneo yake, huufunika umaskini wa maeneo mengine yasiyokuwa na utajiri wa rasilimali

Je, hapa, mtaigawaje hii nchi ili kwamba, Kwa mikoa hiyo isiyozidi minane iingizwe kwenye hayo majimbo hata yasiyokuwa na kitu ili sasa kuumeza huo umaskini wa mikoa zaidi ya ishirini+

Hata ukasema uigawe kikanda, Naihofia kanda ya Kati, Kwa kuwa mikoa yake ni myeupe na inakuwaga na njaa sana
 
Swali zuri sana, mkuu nikupashe tu kuwa Tanzania hii hakuna mkoa usio na rasilimali. Hapo singida unaposemea kumbuka ni wakulima wazuri wa alizeti. Na isitoshe rasilimali kubwa zaidi ya kutegemewa ni watu, we unajua watu waliopo singida kwa shughuli wanazofanya waliingizia taifa kiasi gani?

Alafu cha mwisho si kwamba eti kukishakuwa na serikali za majimbo basi serikali kuu ndo inaenda likizo hapana, kumbuka kuna pesa ambazo zinaenda serikali kuu kwa ajili ya maendeleo. Hizi kazi yake ni ku back up zile sehemu zinazochechemea. Nafkiri umenielewa kama ndugu yangu. Haya sasa kura yako kwa Lisu.
Mkuu, hii Sera ni Nzuri Ukiwa katika Jimbo, ama mkoa wenye Resources nyingi na kutoshereza kujiletea maendeleo, swali langu ni kwamba, Kwa kuwa mikoa yenye utajiri wa lasirimali za kutosha huwenda zisifikie hata mikoa 8, hiyo mikoa mingine wataweza kuvumilia umaskini Wao uliopo ktk mikoa Yao ukiwemo mkoa wa Singida anakotokea Raisi wa mitandaoni?

Sera ya majimbo, ni Nzuri Sana mkiwa na eneo kuuubwa la nchi, nchi yetu ni ndogo na inaweza kulinganishwa na Jimbo moja tu la Taxes Maerekani, maana yake Ni kwamba, Jimbo la Taxes, utajiri ulio katika Baadhi ya maeneo yake, huufunika umaskini wa maeneo mengine yasiyokuwa na utajiri wa rasilimali

Je, hapa, mtaigawaje hii nchi ili kwamba, Kwa mikoa hiyo isiyozidi minane iingizwe kwenye hayo majimbo hata yasiyokuwa na kitu ili sasa kuumeza huo umaskini wa mikoa zaidi ya ishirini+

Hata ukasema uigawe kikanda, Naihofia kanda ya Kati, Kwa kuwa mikoa yake ni myeupe na inakuwaga na njaa sana
 
Mkuu, hii Sera ni Nzuri Ukiwa katika Jimbo, ama mkoa wenye Resources nyingi na kutoshereza kujiletea maendeleo, swali langu ni kwamba, Kwa kuwa mikoa yenye utajiri wa lasirimali za kutosha huwenda zisifikie hata mikoa 8, hiyo mikoa mingine wataweza kuvumilia umaskini Wao uliopo ktk mikoa Yao ukiwemo mkoa wa Singida anakotokea Raisi wa mitandaoni?

Sera ya majimbo, ni Nzuri Sana mkiwa na eneo kuuubwa la nchi, nchi yetu ni ndogo na inaweza kulinganishwa na Jimbo moja tu la Taxes Maerekani, maana yake Ni kwamba, Jimbo la Taxes, utajiri ulio katika Baadhi ya maeneo yake, huufunika umaskini wa maeneo mengine yasiyokuwa na utajiri wa rasilimali

Je, hapa, mtaigawaje hii nchi ili kwamba, Kwa mikoa hiyo isiyozidi minane iingizwe kwenye hayo majimbo hata yasiyokuwa na kitu ili sasa kuumeza huo umaskini wa mikoa zaidi ya ishirini+

Hata ukasema uigawe kikanda, Naihofia kanda ya Kati, Kwa kuwa mikoa yake ni myeupe na inakuwaga na njaa sana
Ni heri tuwe na Jimbo moja maskini kuliko kua na mikoa yote maskini. Huko ulikotaji kua hawana Mali tutajenga vyuo mbalimbali ili hawa wenye majimbo tajiri wapeleke vijana wao wakasome huko.
 
Chadema nawakubali sana hawa jamaa kwa Sera zao. Wapo tofauti sana.
Nitajie Sera zao tano, zilizopo kwenye ilani yao. Hawa watu hawana Sera, ni watu wa matukio tu. Tanzania ni Moja, hayo majimbo akagawe huko Ubelgiji sisi hapana.
 
Ni heri tuwe na Jimbo moja maskini kuliko kua na mikoa yote maskini. Huko ulikotaji kua hawana Mali tutajenga vyuo mbalimbali ili hawa wenye majimbo tajiri wapeleke vijana wao wakasome huko.
Achana nae huyo, ni uyoga tu hajui hata anachoongea
 
Nitajie Sera zao tano, zilizopo kwenye ilani yao. Hawa watu hawana Sera, ni watu wa matukio tu. Tanzania ni Moja, hayo majimbo akagawe huko Ubelgiji sisi hapana.
1. Bima ya afya kwa kila mwananchi.
2. Kurudisha Haki, Uhuru na maendeleo ya watu.
3. Sera ya serikali yavMajimbo
4. Sera ya kuboresha uwekezaji wa ndani na nje ili kuongeza soko la ajira.
5. Sera ya kilimo, kumkomboa mkulima


Hizo tano za fastafasta...We Nipe za CCM tatu tu
 
Mimi mkazi wa Songea Kitai, nilikuwa naumia sana kuona katika eneo letu ndipo yanapatikana makaa ya mawe yanayolisha karibu viwanda vyote nchini, na mengine yanasafirishwa kwenda Rwanda, Uganda, Burundi na Kenya na kuingizia nchi mamilioni ya pesa. Chakusikitisha barabara katika eneo letu ni Mungu tu ndo anajua, Yaani inafika kipindi cha mvua magari yanashindwa hata kupita kwenda kupakia makaa, barabara ni mbovu, eti suluhisho wameona matipa ndo yaende kupakia huko migodini yalete mjini ndo yapakiwe kwenye magari na kusafirishwa.

Kinachoniuma ni kuwa pamoja na mamilion tunayoingiza, pia sisi ni wakulima wakubwa, tuna lisha nchi na kuingizia mamilioni, isitoshe kuna uvuvi katika ziwa Nyasa vyote hivi vinaingiza mamilioni, lakini tunashindwa kujengewa barabara , Maji safi ya kunywa kwetu ni ndoto, hospital paka uende mjini, umeme tunauona tukienda mjini.
Naamini hii Sera ya majimbo kwamba kile kinachopatikana sehemu kilete maendeleo kwanza eneo lile husika ingekuwa imeanza siku nyingi basi wakazi wa Kitai tungekuwa kama calfonia,.

Kuna maeneo hapa Tanzania yatakuwa kama ulaya, ndio maana nchi kama Afrika kusini miji yake karibu yote imeendelea. Fikiri jimbo la Iringa lingekuwaje nafkiri kama Durban, Mtwara wana gesi, wana korosho, wana uvuvi wangekuwa kama Chicago. Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya sijui yatakuwaje.

Kwa kifupi hii Sera kwangu Mimi ndio Sera rahisi zaidi ya kuleta maendeleo kwa kurudisha mamlaka ya matumizi ya pesa kwa wananchi wa eneo husika. Wao ndo wanaamua tufanye nini na hii pesa yetu. Nafkiri hii ingekwepo chato wasinge amua kujenga uwanja wa ndege, Bali wangetumia zile pesa kwa jambo lenye manufaa zaidi ya uwanja. Pia wananchi wasingenunua ndege bali hiyo hela wangefanyia jambo lenye manufaa zaidi.

Pia Sera ya majimbo itapunguza mtu mmoja kuwa na maamuzi ya nchi nzima na kufanya aabudiwe kama mungu. Maana asingekuwepo mtu wa kusema msimchagua Fulani sileti maendeleo kwenu. Maana maendeleo yatakuwa yanaamuliwa na wananchi wenyewe na si kama ilivyo sasa amabapo pesa zote za nchi nzima zinakusanya sehemu moja alafu rais ndo anapanga afanye nini na hizo pesa. Matokeo yake ndo tunaon mtu anajiamulia tu sijui ajenge uwanja wa ndege, sijui anunue ndege, anaona pesa nyingi paka nyingine anaona bora agawe barabarani.

Pia hii Sera itapunguza ufisadi kwa kiasi kikubwa, maana wananchi watakuwa wanajua mapato na matumizi ya majimbo yao. Kama kuna ufisaidi mahali itakuwa rahisi kujulikana, tofauti na sasa ambapo CAG kasema kuna ufisadi wa Trillion 1.5 hazijulikani zilipo, ila serikali wanasema hakuna pesa iliyopotea na matokeo yake CAG akafukuzwa kazi kwa kusema ukweli. Pia tungekuwa tunajua kuwa tumenunua ndege kwa kiasi gani, tumejenga uwanja kwa kiasi gani tofauti na sasa ambapo gharama za ndege anajua mtu mmoja tu. Na gharama za uwanja anajua mtu mmoja tu Yaani yeye ndo mnunuzi, ndo dalali, ndo mtoa pesa, ndo mwandika mkataba, ndo msaini mkataba, ndo mwanasheria, ndo mhasibu, ndo daktari ndo kila kitu.

Faida za majimbo ni nyingi sana siwezi kuziandika zote, lakini nchi zote zenye mfumo wa majimbo karibu zote zimepiga hatua katika sekta ya maendeleo.

#LissuTumekuaminiTuvushe#
But the President would still be one...
And the Constitution too.!

I don't see it working.
 
Na kwa kuongeza tu. Mara nyingi unapokuwa na serekali za majimbo, serekali kuu inakuwa na baeaza dogo la mawaziri. Wanaweza wasizidi sita. Waziri mkuu, Mambo ya ndani, nje, Ulinzi, pesa na Afya.
Hawa mawaziri wa vijana na michezo, waziri wa kilimo na mifugo ni mizigo tu ndani ya serekali. Eti waziri wa uvuvi! We unakuta kuna kuna mkoa kuna bwana smaki lakini huo mkoa hauna hata mto.

Unakutankama dar kuna bwana nyuki. Dsm kuna wafuga nyuki?

Kuwe na watendaji tu. Kwa kila kanda kulingana na mahitaji.

Badala ya kuwa na utitiri wa madiwani kila kanda inakuwa na bunge lao dogo ambalo kazi yake ni kupitisha badget ya jimbo husika.

Kwa kifupi hii sera inapaswa kuelekezwa kwa wananchi kwa kuwatumia kina Mnyika na watunga sera wa chama.

Nimalize kwa kumwombea kura Mheshimiwa Lissu.
 
Katika sera ambazo wananchi wamezikataa bayana, hii ni mojawapo, tena hii imehakikishwa hata na tume ya warioba. Kati ya failures za CHADEMA, ni hii policy.
Was never and will never be accepted in the near future. Not a campaigning issue at all, ingawa mwaka huu ni obvious wanashindwa.
 
Katika sera ambazo wananchi wamezikataa bayana, hii ni mojawapo, tena hii imehakikishwa hata na tume ya warioba. Kati ya failures za CHADEMA, ni hii policy.
Was never and will never be accepted in the near future. Not a campaigning issue at all, ingawa mwaka huu ni obvious wanashindwa.
Nani kakwambia wameikataa??? Mbona sie tumeikubali???
 
Mkuu, hii Sera ni Nzuri Ukiwa katika Jimbo, ama mkoa wenye Resources nyingi na kutoshereza kujiletea maendeleo, swali langu ni kwamba, Kwa kuwa mikoa yenye utajiri wa lasirimali za kutosha huwenda zisifikie hata mikoa 8, hiyo mikoa mingine wataweza kuvumilia umaskini Wao uliopo ktk mikoa Yao ukiwemo mkoa wa Singida anakotokea Raisi wa mitandaoni?

Sera ya majimbo, ni Nzuri Sana mkiwa na eneo kuuubwa la nchi, nchi yetu ni ndogo na inaweza kulinganishwa na Jimbo moja tu la Taxes Maerekani, maana yake Ni kwamba, Jimbo la Taxes, utajiri ulio katika Baadhi ya maeneo yake, huufunika umaskini wa maeneo mengine yasiyokuwa na utajiri wa rasilimali

Je, hapa, mtaigawaje hii nchi ili kwamba, Kwa mikoa hiyo isiyozidi minane iingizwe kwenye hayo majimbo hata yasiyokuwa na kitu ili sasa kuumeza huo umaskini wa mikoa zaidi ya ishirini+

Hata ukasema uigawe kikanda, Naihofia kanda ya Kati, Kwa kuwa mikoa yake ni myeupe na inakuwaga na njaa sana
Hii nakataa mkuu singida Wana rasimali nyingi tu
 
Mimi mkazi wa Songea Kitai, nilikuwa naumia sana kuona katika eneo letu ndipo yanapatikana makaa ya mawe yanayolisha karibu viwanda vyote nchini, na mengine yanasafirishwa kwenda Rwanda, Uganda, Burundi na Kenya na kuingizia nchi mamilioni ya pesa. Chakusikitisha barabara katika eneo letu ni Mungu tu ndo anajua, Yaani inafika kipindi cha mvua magari yanashindwa hata kupita kwenda kupakia makaa, barabara ni mbovu, eti suluhisho wameona matipa ndo yaende kupakia huko migodini yalete mjini ndo yapakiwe kwenye magari na kusafirishwa.

Kinachoniuma ni kuwa pamoja na mamilion tunayoingiza, pia sisi ni wakulima wakubwa, tuna lisha nchi na kuingizia mamilioni, isitoshe kuna uvuvi katika ziwa Nyasa vyote hivi vinaingiza mamilioni, lakini tunashindwa kujengewa barabara , Maji safi ya kunywa kwetu ni ndoto, hospital paka uende mjini, umeme tunauona tukienda mjini.
Naamini hii Sera ya majimbo kwamba kile kinachopatikana sehemu kilete maendeleo kwanza eneo lile husika ingekuwa imeanza siku nyingi basi wakazi wa Kitai tungekuwa kama calfonia,.

Kuna maeneo hapa Tanzania yatakuwa kama ulaya, ndio maana nchi kama Afrika kusini miji yake karibu yote imeendelea. Fikiri jimbo la Iringa lingekuwaje nafkiri kama Durban, Mtwara wana gesi, wana korosho, wana uvuvi wangekuwa kama Chicago. Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya sijui yatakuwaje.

Kwa kifupi hii Sera kwangu Mimi ndio Sera rahisi zaidi ya kuleta maendeleo kwa kurudisha mamlaka ya matumizi ya pesa kwa wananchi wa eneo husika. Wao ndo wanaamua tufanye nini na hii pesa yetu. Nafkiri hii ingekwepo chato wasinge amua kujenga uwanja wa ndege, Bali wangetumia zile pesa kwa jambo lenye manufaa zaidi ya uwanja. Pia wananchi wasingenunua ndege bali hiyo hela wangefanyia jambo lenye manufaa zaidi.

Pia Sera ya majimbo itapunguza mtu mmoja kuwa na maamuzi ya nchi nzima na kufanya aabudiwe kama mungu. Maana asingekuwepo mtu wa kusema msimchagua Fulani sileti maendeleo kwenu. Maana maendeleo yatakuwa yanaamuliwa na wananchi wenyewe na si kama ilivyo sasa amabapo pesa zote za nchi nzima zinakusanya sehemu moja alafu rais ndo anapanga afanye nini na hizo pesa. Matokeo yake ndo tunaon mtu anajiamulia tu sijui ajenge uwanja wa ndege, sijui anunue ndege, anaona pesa nyingi paka nyingine anaona bora agawe barabarani.

Pia hii Sera itapunguza ufisadi kwa kiasi kikubwa, maana wananchi watakuwa wanajua mapato na matumizi ya majimbo yao. Kama kuna ufisaidi mahali itakuwa rahisi kujulikana, tofauti na sasa ambapo CAG kasema kuna ufisadi wa Trillion 1.5 hazijulikani zilipo, ila serikali wanasema hakuna pesa iliyopotea na matokeo yake CAG akafukuzwa kazi kwa kusema ukweli. Pia tungekuwa tunajua kuwa tumenunua ndege kwa kiasi gani, tumejenga uwanja kwa kiasi gani tofauti na sasa ambapo gharama za ndege anajua mtu mmoja tu. Na gharama za uwanja anajua mtu mmoja tu Yaani yeye ndo mnunuzi, ndo dalali, ndo mtoa pesa, ndo mwandika mkataba, ndo msaini mkataba, ndo mwanasheria, ndo mhasibu, ndo daktari ndo kila kitu.

Faida za majimbo ni nyingi sana siwezi kuziandika zote, lakini nchi zote zenye mfumo wa majimbo karibu zote zimepiga hatua katika sekta ya maendeleo.

#LissuTumekuaminiTuvushe#
Hii Sera imekuwepo muda mrefu sana ndani ya chadema, wakongwe waligundua kuwa haitapokelewa positively na wananchi, hivyo ilikuwa haijitokezi kwa kuwa ingeathiri sana umaarufu na kukubalika kwa chadema. Bahati mbaya chama kimevamiwa na wanaharakati waropokaji wamemwaga kila kitu hazarani. Kifupi sera hii ni mufilisi kabisa na ndiyo itawaharakisha kifo cha chadema kilichotabiriwa, tayari kutoka jana baada ya mgombea wa ccm JPM kuwatahadhalisha watanzania dhidi ya ubaguzi unaoshadadiwa na chadema, watanzania wameachwa na mshituko mkubwa kwamba nchi inaweza kugawanywa vipande vipande kama chadema wataingia ikulu. Kwa heri chadema tulikupenda lakini uzembe wenu umewaponza. Mlionywa kwamba Lissu ni mwanaharakati asiye na staha.

Sisi tunawaomba ccm waendelee kuwaelimisha wananchi wakati huu wa kampeni madhara makubwa ya sera hii, nchi ya DRC na Nigeria ni wahanga wa structure hii ya majimbo. Kuna majimbo tajiri sana na kuna majimbo maskini sana. Kuna msemaji humu kasema, how will chadema be able to distribute evenly the little available resources across the country. Waje pia na FORMULA ya kutushawishi kwamba ugawanaji wa faida ya madini ya kule Geita na Gesi ya Lindi na mtwara faida zake zitawafikiaje watu wa iringa, singida na Dodoma just to mention chache.

TUPE KULE HAYA MACHADEMA, YAANI MNASIKITISHA WASOMI NYIE
 
Na kwa kuongeza tu. Mara nyingi unapokuwa na serekali za majimbo, serekali kuu inakuwa na baeaza dogo la mawaziri. Wanaweza wasizidi sita. Waziri mkuu, Mambo ya ndani, nje, Ulinzi, pesa na Afya.
Hawa mawaziri wa vijana na michezo, waziri wa kilimo na mifugo ni mizigo tu ndani ya serekali. Eti waziri wa uvuvi! We unakuta kuna kuna mkoa kuna bwana smaki lakini huo mkoa hauna hata mto.

Unakutankama dar kuna bwana nyuki. Dsm kuna wafuga nyuki?

Kuwe na watendaji tu. Kwa kila kanda kulingana na mahitaji.

Badala ya kuwa na utitiri wa madiwani kila kanda inakuwa na bunge lao dogo ambalo kazi yake ni kupitisha badget ya jimbo husika.

Kwa kifupi hii sera inapaswa kuelekezwa kwa wananchi kwa kuwatumia kina Mnyika na watunga sera wa chama.

Nimalize kwa kumwombea kura Mheshimiwa Lissu.
Ndoto za Asubuhi....Kenya wameishia kutengeneza Matabaka ya walionacho na wasionacho
 
Back
Top Bottom