Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA kuelekea Oktoba 28

Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA kuelekea Oktoba 28

Bia yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
6,921
Reaction score
8,321
Wakuu ukiacha usaliti wa Nchi na kutumika na Mabeberu

CHADEMA imejizika yenyewe kwa kuleta sera ya kujitawala kimajimbo ndani ya Tanzania

Kwa wale Watanzania ambao hawajaipitia hii sera ya CHADEMA

Ni kwamba kama wewe unatokana Kilimanjaro hurusiwi kwenda kagera hadi uende uhamiaji ni kama vile unahama Nchi
Lazima uwe na documents zote zile zinatohitajika ili kuhama Nchi

Kama Wewe unatoka mbeya hurusiwi kwenda Dar es salam hadi uende ofisi za uhamiaji za jimbo husika, Gavana akikataa kukupatia kibali basi tena hutoki ndani ya jimbo

Swala la ajira:
kama wewe umezaliwa Dodoma hurusiwi kuajiriwa nje ya jimbo ulilozaliwa,yaani kama kuna nafasi za ajira Morogoro wewe mtu wa Dodoma hurusiwi kusogeza pua

Pia kiuchumi mfano kama wewe unatoka Singida Mashariki ambako hali ya kiuchumi ni duni sana hurusiwi kwenda Moshi kwa ajili ya kutafuta fursa za kiuchumi hadi uwe na passport ya kusafiria kama unavyoenda Africa Kusini

Tunajua Tanzania wachaga wametapakaa kila kona ya Nchi wakijitafutia riziki ila CHADEMA wanataka kila mtu afanye biashara alikozaliwa, hii inamaana kuwa watu wa Kilimanjaro wote watatakiwa kurudi kwao endapo CHADEMA itashinda Uchaguzi

Marafiki zangu wa Kilimanjaro wanaofanya biashara Dar es salam wametokea kuchukizwa sana na sera hii ya CHADEMA na kusema wamejitakia kifo kwa chama chao na wameapa kutoipigia kura CHADEMA

Mtazamo wangu sera za majimbo zinazopigiwa upatu na CHADEMA zitaleta udini na ukabila na matabaka kama ilivyo Nigeria

Tunaishukuru CCM kwa kupigania umoja wa Watanzania, wanaotaka kutugawa kamwe hawataweza, wale waliowatuma watugawe ili iwe rahisi kupora raslimali zetu hawataweza kamwe

Kwa heri CHADEMA, October bungeni tunataka chama cha siasa cha upinzani cha kizalendo na sio hao wanaopigania kuwamilikisha Wazungu raslimali zetu
 
Kama mnajiamini kweli basi wekeni ulingo wa mapambano uliowazi, nasio kutaka watu wapigane na huku mwingine kafungwa kamba mkononi na mwingine mikono yake haijafungwa kamba.

Hakuna kipindi ambacho mmekuwa waoga kama uchaguzi huu, halafu mnafanya vitu vya uonevu wa wazi wazi wakati mlikuwa mnadai mnapendwa na wananchi na mmefanya mambo mengi ya maendeleo.

Mwambie mgombea wenu aache uoga, ushujaa wa mwanaume kushinda vita ni kupambana kwa jitihada zako sio kubebwa bebwa kwa wazi kabisa hata mtoto mdogo anaelewa
 
Hakuna Sehemu Rais Magufuli amewataja Wapinzani kwenye kampeni zake

Yeye anamwaga sera za kuwatumikia Wananchi

Ila mgombea wa chadema ni kutema kila aina ya matusi sera hakuna


Na hii sera za majimbo ndio zimeizika rasmi Chadema

Kwaheri Chadema nakuhakikishia hata mbunge hutapata
 
Unataka sera za majimbo ili muwaruhusu Wazungu watugawe na kututawala ?

Hii Nchi Wazungu walishindwa kupenya Kwasababu ya umoja wa kitaifa

Ila wamepenyeza ajenda ya majimbo kwenu ili waje kututawala tena ? Mmeula wa chuya
Nafikiri bado unaishi kwa shemeji au kwa wazazi vinginevyo usingekuwa na hofu ya kujiamulia mambo yako
 
Kumwita Rais Magufuli kwenye mjadala na vijana wasio kuwa na adabu ni kumdhalilisha Rais Magufuli

Lipumba akiomba mdahalo na Rais Magufuli ataitikia
Mkiitwa kwenye mdahalo mnaanza kulia, ila huku mnapotosha. Mwambieni huyo mgombea wenu akubali mdahalo ili msikilize live ukweli
 
Unataka sera za majimbo ili muwaruhusu Wazungu watugawe na kututawala ?

Hii Nchi Wazungu walishindwa kupenya Kwasababu ya umoja wa kitaifa

Ila wamepenyeza ajenda ya majimbo kwenu ili waje kututawala tena ? Mmeula wa chuya
Tume ya taifa ya uchaguzi ni mali yenu ili kutulinda dhidi ya wazungu?
 
Embu taja matusi kama matano hivi aliyoyatamka.

Inawezekana umekariri neno sera kwenye kampeni halafu uelewi kitu. Yeye anafanya kampeni hivyo sio mbaya kutaja madhaifu ya mpinzani wako ili wananchi walinganishe wenyewe. kama vile kuwaibia wamachinga kwa vitambulisho vya kisanii.
 
Back
Top Bottom