Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ni vizuri ungetumia muda huu kujiuliza Kwa nini Wazanzibar walikuwa wanaondoka uwanjani leo wakati Magufuli wenu anahutubia kuliko kupiga propaganda uchwara kwenye Sera bora za CHADEMA ambazo watanzania wengi kwa pamoja tumezikubali na kuzipitisha!!