Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila nikisikia hii sera nawaza ubaguz tunaoneda kuwapa mikoa mfano kondoa kwa vile wao hawana rasilimal basi wabakie masikin miaka yao yote. mashindwe kabisa haya mapipoz
Huna tofauti na mnafiki na muongo unaambiwa toa uthibitisho unaanza kuleta ngonjeraMkuu humu lissu hatakiwi kusemwa vibaya, ukimsema vibaya unatandikiwa ban
MataputapuHiyo bia yenu ni bia gani?
Yani hapa ndipo ilipofeli naona wanataka kutuletea ukabila na udini hapa miongoni mwetu wananchi wa Tanzania.
Tutakutana tarehe 28.labda nikuulize swali unapimaje hayo maneno yako kwa vitendo??Kama mnajiamini kweli basi wekeni ulingo wa mapambano uliowazi, nasio kutaka watu wapigane na huku mwingine kafungwa kamba mkononi na mwingine mikono yake haijafungwa kamba.
Hakuna kipindi ambacho mmekuwa waoga kama uchaguzi huu, halafu mnafanya vitu vya uonevu wa wazi wazi wakati mlikuwa mnadai mnapendwa na wananchi na mmefanya mambo mengi ya maendeleo.
Mwambie mgombea wenu aache uoga, ushujaa wa mwanaume kushinda vita ni kupambana kwa jitihada zako sio kubebwa bebwa kwa wazi kabisa hata mtoto mdogo anaelewa
kwanza sipend Majimbo yataleta shida.watatokea hao ndio magavana mmoja atasema mbona sisi tuna dhahabu yetu nyung na haoa kuna shida ya hiki ya hiki.kwa nini pesa iende nje? kikao chao sijui mameya wanapitisha azimio nyumban kwanza.Kinachofata majimbo mengineyo nayo yatasema mbona sisi Samaki wetu ,hawa nao hivo hivo. Sera ya majimbo Haifai labda kwa vile hue da inasemekana kuna maagizo
nimekwazika sana