Shule za mkoloni zinaonesha kuchoka na kulegea.
Watoto wa kusoma wanaongezeka kila mwaka shule haziongezeki.
Kanda ya ziwa hakuna chuo kikuu cha serikali ni vijitawi tu.
Jana nilimuona mgombea anasema ataongeza madarasa matatu kweye shule yenye madarasa 10 na wanafunzi 3300+ nikapenda kujua hakuna chama nyenye mpango wa kuanzisha ujenzi wa shule kama alivyo fanya ndugu Kikwete kwa awamu nyingine, ilani zinasemaje ujenzi wa shule au linaachwa kama tatizo la kuombea kura.
Watoto wa kusoma wanaongezeka kila mwaka shule haziongezeki.
Kanda ya ziwa hakuna chuo kikuu cha serikali ni vijitawi tu.
Jana nilimuona mgombea anasema ataongeza madarasa matatu kweye shule yenye madarasa 10 na wanafunzi 3300+ nikapenda kujua hakuna chama nyenye mpango wa kuanzisha ujenzi wa shule kama alivyo fanya ndugu Kikwete kwa awamu nyingine, ilani zinasemaje ujenzi wa shule au linaachwa kama tatizo la kuombea kura.