The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Hujamwelewa mleta mada...Ndo nikuulize wewe unaewapondea masikini
🙏 🙏 🙏Hujamwelewa mleta mada...
Pengine hata wewe hujui hata definition ya "masikini" ni nani..
Hebu rudia tena kumsoma jamaa, pengine utamwelewa sasa....
Siyo siri mkuu, bila sera za kuondoa umasikini ni kutwanga maji kwenye kinu.Bro wew ndio mshamba...sbaba akil yako bado haijachanganua mambo katika ukwel...hauna logical thinkin...
Chukua picha za zaman za familia yenu alizopiga baba ako na mama ako na nyie watoto..halaf ziangalie...utaona mambo meng ambayo kwa sasa una wish ungerekebisha kwenye picha hzo..kama makochi..shaby cloths..hata mitindo ya nywele .well kwa wakat huo vilifana sana ila kwaa sasa hapana huwez piga picha nmna hyo. Same to tunachokiongelea hapa.. wakat bado..narudia tena.wakat bado..hatunafikia level hyo ya civilization na city planning..na ndomana wanasema kinachofanya waafrica tusiendelee ni utandawaz..yaan tuna practice njia za uchum za nchi ambazo zmetupita au tuko nyuma mara 500...mnaacha kufanya sustainable farming kama uti wa mgongo mnahamia kwenye modern economy..sjui hik mara kile. Sabba watu weusi hatuna akil..ndo wewe sada mtoa.mada..huwez nielewa sabab ubongo wako hauwez chakata nachoongea..ila ukikakaa na kutulia utanielewa...
Ndio alichoongea rais juz umeka stand ya mabas ya kisasa mbez.wateja wa hayo mabasi ni watu maskin..unawawekea restaurant za maelfu ya pesa ya chakula..hiv kwel kuna akil .na hapo unawazuia wauza vyakula vya kawaida..hata mahind na apple wasiingie ndan ..una akil kwel. Sasa mtoa mada ndo watu wenye akil kama hyo...ni sawa na mfanya biashara mwenye malengo kwenda kuuza baga buguruni...ni upumbafu...ncho yetu bado haijafika huko...machinga na wafanya biashara wa hovyo wa holela lazima wawepo...kadiri maendeleo yanavyokuja.wataji sort wenyew na wataondoka..we unafkir wanakaa barabaran wanamuuzia nan..hao hao unaowaona matajir wa kwenye magar ndo wanunuz wakubwa.so uchumi badoo sana mjinga wew sikujib tena sbabu naona huna akil
Tumependelewa wananchi wanyongeHuo ni usajili tu.
TRA wala hawakujui.
Unaelewa maana yake, ila hutaki kuipa fikra nzito.View attachment 1714616
Sasa hivi kuna sera zisizo rasmi za kuwabeba ati watu "masikini".
Nawawekea mfungo hao "masikini" maana hata definition yao katika jamii hawajulinani.
Humo kuna mama lishe, machinga na wengine wengi.
Kundi hili kwa sasa, hasa jiji la DSM, limeendekeza uchafuzi wa mazingira mkubwa sana.
Tatizo la hao "masikini" wamepewa open cheque ya kufanya lolote wanalotaka Jijini.
Wanaweza fungua biashara popote
Wanaweza kwenda haja popote
Wanaziba mitaro ya maji ya mvua
Hawazoi taka zao
Hawalipi kodi yoyote
Hawataki kudhibitiwa kwa aina yoyote ile kiutaratibu.
Walijengewa Machinga Complex kule Ilala lakini wako wanang'ang'ania barabarani
Kiujumla hawa "masikini" wanaweza kuwa mtaji wa kisiasa lakini ni kero kubwa kwa watendaji Jijini.
Hili sasa limesha kuwa tatizo la kisiasa.
LOoo, Jidu, huu ni mjadala mzito sana, lakini sijui utakwenda vipi huu.Siyo siri mkuu, bila sera za kuondoa umasikini ni kutwanga maji kwenye kinu.
Na unynge huo wa kufikiri haujifichi.
Huwezi kuwa glorify masikini bila sera za kuondoa umasikini.
Huwezi ondoa umasikini kwa kuwapa masikini a free ride on the society at large.
Open cheque ya kufanya lolote popote walipo.
DAR peke yake in watu milioni 5, na miji mingine vivyo hivyo.
Waingie watu wangapi wapange biashara barabarani ili kukidhi haja za watu masikini nchini.
Kuna tatizo hapa , hatujui masikini tunawatengeneza vipi na hatujui sera zipi kuondoa umasikini.
Mkuu kuna mambo hayawezi kuepukika katika jamii.LOoo, Jidu, huu ni mjadala mzito sana, lakini sijui utakwenda vipi huu.
Kwa mfano: angalia mlivyopishana na mkuu Napoleon hapo juu..., yeye anapiga hivi, na wewe ni kama unamsindikiza kiaina! Mawazo yenu ni mbalimbali kabisa!
Sasa hyo ndo point....ili tuweze jivunia miji yetu lazima serikal iwe na sera endelevu za kutokomeza umaskin..waje na mbinu tofaut tofaut...ajira tu imekua gumzo. Hao vinana wa vyuon ndo waamejazana barabaran na mitandaon na page za kuuzaa bidhaa..kujikwamua sabab mitaj yao ni midogo..unafkiri kuna mtu anapenda kaaa barabaran mkuu...heb tembea uwaone sura zao zinavyotia huruma..vijana wamejaa kkoo mwenge. Wale usidhan ni darasa la saba..wale ni graduates wa vyuo vikuu wanatafta mitaj wawekeze largely..so mim nawaangalia sana hao..wengne wanadaiwa mikopo...mkuu..hali ni mbaya unless uangalie situation ya hao vijana..mim nina magoli kama 9 hiv mitaan huko kuna vijana nmewaweka ..mi napata nao wanapata tunasaidia .huko huko masokon mabarabarani...n we make it..kama mtu anatengeza 800k a week huko huko mabandan y asifanye hvyo. Hao vijana wamepata ajira nao wanakula na family zao namim nakula pia in one way or otherSiyo siri mkuu, bila sera za kuondoa umasikini ni kutwanga maji kwenye kinu.
Na unynge huo wa kufikiri haujifichi.
Huwezi kuwa glorify masikini bila sera za kuondoa umasikini.
Huwezi ondoa umasikini kwa kuwapa masikini a free ride on the society at large.
Open cheque ya kufanya lolote popote walipo.
DAR peke yake in watu milioni 5, na miji mingine vivyo hivyo.
Waingie watu wangapi wapange biashara barabarani ili kukidhi haja za watu masikini nchini.
Kuna tatizo hapa , hatujui masikini tunawatengeneza vipi na hatujui sera zipi kuondoa umasikini.
Acha uongo chiefKwahyo unataka kuruka hatua? Hiv unahis Tz, nchi za africa masharik na nyingne tuko hatua gan za kiuchum.....fatilia china .dubai.malaysia etc miaka 30 iliyopita walikua na mazingira gan...kwasis tunaojua ni kwamba miak 30-40 nyuma hzo nchi zilikua zna machinga had mdomon mwa majij yao...lakin ndio ilikua hatua yao husika..so nasis tutavuka pia hatua hii na tutakua kama unavyotaka....tatzo la utandawazi ndo hili. una access ya kuangalia whats goin on on the other side bas unahis we are on same level ya kimaendeleo...sis tuko miaka 400 nyuma ya hao jamaa..so subir tufike hatua hyo ndio utakua na legitimacy ya ku argue hvyo...mkuu...tz na vinchi hvi vya africa baaaado sanaaa...yaan saaaana
Kuahirisha matatizo hakujawahi kutatua tatizo.Sasa hyo ndo point....ili tuweze jivunia miji yetu lazima serikal iwe na sera endelevu za kutokomeza umaskin..waje na mbinu tofaut tofaut...ajira tu imekua gumzo. Hao vinana wa vyuon ndo waamejazana barabaran na mitandaon na page za kuuzaa bidhaa..kujikwamua sabab mitaj yao ni midogo..unafkiri kuna mtu anapenda kaaa barabaran mkuu...heb tembea uwaone sura zao zinavyotia huruma..vijana wamejaa kkoo mwenge. Wale usidhan ni darasa la saba..wale ni graduates wa vyuo vikuu wanatafta mitaj wawekeze largely..so mim nawaangalia sana hao..wengne wanadaiwa mikopo...mkuu..hali ni mbaya unless uangalie situation ya hao vijana..mim nina magoli kama 9 hiv mitaan huko kuna vijana nmewaweka ..mi napata nao wanapata tunasaidia .huko huko masokon mabarabarani...n we make it..kama mtu anatengeza 800k a week huko huko mabandan y asifanye hvyo. Hao vijana wamepata ajira nao wanakula na family zao namim nakula pia in one way or other
Nchi yenye vijana karibia 70% halafu karibia wote ni machinga na bodaboda! Ujue km nchi kuna sehemu tunafeli, tunapaswa kujiuliza tumekosea wapi?Si argue na wapumbavu..sabab naona hakuna logical thinking hapa.nyie ni wale mnaenda uza baga au piza bugurun au tandale. Akil ndogo..mnafosi ka nchi maskin kawe na civilization ya nchi za daraja al pil au tatu..upumbavu kabisa ..hao mnao wa admire leo.miaka 50 nyuma walikua kama huku tu.machinga ..biashara barabaran etc..wengne mpaka leo.....
Mipango miji mizur kwenye nchi ambayo hata panadol hamwez afford or nchi ambayo bado mnapambana na mbu na nzi ni upuuzi....uchumi huwa haudanganyi.. automaticaly mambo huwa yanajiset yenyew...ipo siku hao wanaopanga vitu barabaran wenyew watatoka humo...ukiona hawatok ujue ndo level yetu ya uchumi ilipofika..ukiwafukuza hao na kuwatoa hata useme unaenda wapangia wakae wap. Utashindwa tu.sanasana utasaabishaa chuki na vita wiz na ujambaz...
Level hyo tanzania badooo
We jamaa ni muongo Sana na propagandist uliyekubuhu !Akili ndogo..na ndomana watu wenye busara huwa wanapewa nchi...wangekua wanawapa watu wa aina yako..hii dunia ingekwisha.....ukitaka sera za kibepari africa...uliwaona rwanda walivyo chinjana?
Waafrica ukiwaletea sera hzo..utavamiwa na majambaz usiku watakuchinja wew na familia yako...usijarib hyo kitu..vita zote africa znatokana na hyo sera yako..hyo wafanye hukooo..sio huku
Ahhh kumbe ndio maana unatetea huu uozo wa uharibifu wa miji yetu.Sasa hyo ndo point....ili tuweze jivunia miji yetu lazima serikal iwe na sera endelevu za kutokomeza umaskin..waje na mbinu tofaut tofaut...ajira tu imekua gumzo. Hao vinana wa vyuon ndo waamejazana barabaran na mitandaon na page za kuuzaa bidhaa..kujikwamua sabab mitaj yao ni midogo..unafkiri kuna mtu anapenda kaaa barabaran mkuu...heb tembea uwaone sura zao zinavyotia huruma..vijana wamejaa kkoo mwenge. Wale usidhan ni darasa la saba..wale ni graduates wa vyuo vikuu wanatafta mitaj wawekeze largely..so mim nawaangalia sana hao..wengne wanadaiwa mikopo...mkuu..hali ni mbaya unless uangalie situation ya hao vijana..mim nina magoli kama 9 hiv mitaan huko kuna vijana nmewaweka ..mi napata nao wanapata tunasaidia .huko huko masokon mabarabarani...n we make it..kama mtu anatengeza 800k a week huko huko mabandan y asifanye hvyo. Hao vijana wamepata ajira nao wanakula na family zao namim nakula pia in one way or other
Tofautisha kodi na Uhuru..Acha maneno mengi. Kodi tunalipa!
soon wataweka meza getini kwake mkuu manake ile njia yote hadi hazina wamejaaaUnaongea ukweli, nenda stand mpya ya Mbezi after a week utaniambia. Pita maeneo ya posta sasa hivi uone jinsi mambo yanavyoenda hobela hobela.
'Waacheni hawa ndio walinipa kura'Ila jamani miji yetu imeharibika mno mno, hadi njia za kupita kwa miguu imekabwa na hawa machinga. Ni bomu baya sana kwani kuja kuwaondoa ni shughuli pevu kwa utawala ujao.
Yani we kwa akili yako unawadharau wachumi wetu kabisa afu unajoina mwerevu unaita wapumbavu wenzio. Mimi suggestion yangu nimeshatoa calculation ifanyike ya maisha ya mtu standard anafford matumizi gani kwa siku bei zipandishwe hadi hapo wataondoka watu taratibu wenyew maan zitawekwa sera za nje ya mjini ambazo ni nyepesi. Afu watu wanaoogopa mabomu ya machozi hawna courage hyo ya watutsi.Si argue na wapumbavu..sabab naona hakuna logical thinking hapa.nyie ni wale mnaenda uza baga au piza bugurun au tandale. Akil ndogo..mnafosi ka nchi maskin kawe na civilization ya nchi za daraja al pil au tatu..upumbavu kabisa ..hao mnao wa admire leo.miaka 50 nyuma walikua kama huku tu.machinga ..biashara barabaran etc..wengne mpaka leo.....
Mipango miji mizur kwenye nchi ambayo hata panadol hamwez afford or nchi ambayo bado mnapambana na mbu na nzi ni upuuzi....uchumi huwa haudanganyi.. automaticaly mambo huwa yanajiset yenyew...ipo siku hao wanaopanga vitu barabaran wenyew watatoka humo...ukiona hawatok ujue ndo level yetu ya uchumi ilipofika..ukiwafukuza hao na kuwatoa hata useme unaenda wapangia wakae wap. Utashindwa tu.sanasana utasaabishaa chuki na vita wiz na ujambaz...
Level hyo tanzania badooo