Serena Williams afunga ndoa na Alexis Ohanian

Serena Williams afunga ndoa na Alexis Ohanian

Ha ha ha hivi mnajua wanaume huwaga ni vegeugeu kwenye choices..ndo nasikia wenzio wa kule walikua wanampa shades za ukomavu..ila wewe kaka angu wa huku ume mind mzigo...[emoji23] muzungu ndo keshakupiku anaenda kukamatia chini.
achukuwe tu, aliwapata hawa Men Who Serena Williams Has Dated hawakuweza mzigo..
Mwacheni achukuwe chake..
 
Dah uyo mzungu hzo nyonyo ataziweza kwel au ndo atakua anasaidiwa na blacks
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo namna gani tena

c02c9fdba2557e462286a500b9ff6f2d.jpg
Nyonyo limepigwa jeki ya mikono kimtindo!
 
Serena Williams amefunga ndoa na mwanzilishi mwenza wa Reddit Alexis Ohanian katika harusi kubwa iliojaa mbwembwe za aina yake ya mwaka huu.
Nyota akiwemo Beyonce, Kim Kardashian na Eva Longoria walikuwa katika harusi hiyo iliofanyika katika eneo la New Orleans siku ya Alhamisi.
Sherehe hiyo ilikuwa na wageni 200 katika orodha ya wageni kulingana na vyombo vya habari.
Eneo moja kubwa la mji lilifungwa kwa sherehe hiyo ambayo ilifanyika katika kituo cha Contemporary Arts Center.
Wageni wengine ni pamoja na nyota Caroline Wozniack, Kelly Rolland ,Ciara, La La Anthony na muhariri wa jarida la Vogue Anna Wintour kulingana na gazeti la daily mail.
Limeripoti kwamba harusi hiyo iligharimu dola milioni 1 huku wageni wakiagizwa kutoingia na simu zao kutokana na mkataba na jarida la Vogue.
View attachment 632724

Serena alijifungua mtoto wao wa kwanza wa kike Alexis Olympia, miezi miwli iliopita.
Gharama za hili gauni ni milioni 700[emoji4][emoji4]
 
Nilidhani Serena hotel
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Majungu unayo wewe ndo maana hujiamini. Mi nimeuliza kwa uzuri sababu kila Sikh anaonekana msichana tena mrembo. Mi nampenda sana. Kazi kwako we usiejiamini mwenyewe majungu. Hujui umri wake ungrpiga kimya mkuu, acha porojo
Like wise hata mimi ningependa kujua umri wake. Maana tangu utotoni namuona yuko hivyo. Mwambie mzee wa porojo Kama ni majungu acha yawe
 
Back
Top Bottom