raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mkuu,
Kumbe na wewe Ni mdau see 😊😊
Beer yangu pendwa 🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,
Kumbe na wewe Ni mdau see 😊😊
Halafu ile chupa kubwa ya njano ina ukali tofauti na chupa ndogo? Mbona hii kubwa yenye stika mpya inalewesha sana?
Hongera mkuu!View attachment 3009398
Beer yangu pendwa 🔥
Inaelekea hao walioleta hiyo sticker mpya siyo beer brewers, ni waajiriwa wa mark ambao hawana uzoefu kabisa na industry ya brewing na market preerence!Aisee kweli utafikiri chibuku warudishe hile ya zamani
😂Bia utafikiri imevalishwa reflector, hiyo label nyeusi inavutia
Tembo / Mnazi ambao haujazimuliwa baada ya kulala siku 3/4 ukinywa HUO tunakubeba kwenye MtaroNB: iyo mtikilia ni bia gani mkuu maana sijawahi kuisikia?
Naijua iyo kitu kama sio mkongwe unakata moto kabisa, unakuja kuzinduka siku ya 3 upo mochwari unakuta ndugu ndio wanamalizia taratibu za mazishi yako. Hakafu hangover yake sasa ni wiki mbiliTembo / Mnazi ambao haujazimuliwa baada ya kulala siku 3/4 ukinywa HUO tunakubeba kwenye Mtaro
Tembo / Mnazi imekosa vifungashio tu km ilivyo Chibuku Ila ni bonge moja ya koburudisho cha walevi wale wa hali ya Chini litre 1 ni 500 tu zungusha Komichi mwendo wa kupuliza nyuki kwenye Komichi pombe Ina ladha ya asali Dawa ya Figo na kibofu cha mkojoNaijua iyo kitu kama sio mkongwe unakata moto kabisa, unakuja kuzinduka siku ya 3 upo mochwari unakuta ndugu ndio wanamalizia taratibu za mazishi yako. Hakafu hangover yake sasa ni wiki mbili
Chupa ya wana Yanga hioMarketing manager amefeli. Packaging ni sehemu ya kumvuta mteja.
Inaonekana kama Ile Pilsner za mitambo kileee!
Mkuu hapa hujakosea, stika ya ovyo kinyama.... afu sijui wamechakachua kweli.... ladha yake siielewi kabisa
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi.
Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio cha togwa!
Kiwanda cha Serengeti warudishe sticker za zamani, ama sivyo narudi kunywa Mtikila!
Afu kutuwekea rangi za CCM ndio nini sasa? Au kuna mdau wao katia mpunga huko? Ovyo kabisa
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi.
Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio cha togwa!
Kiwanda cha Serengeti warudishe sticker za zamani, ama sivyo narudi kunywa Mtikila!
Umelenga mule mule Mkuu, aliyeshauri hapa kawaingiza chakaImekuwa kama balimi
😹😹😹😹 lengo lilikuwa CCM hapa, itakuwa kuna mtu ana hisa kule.. muda wa kampeni watakuwa wanazisambaza tu kwa wanaUtakunywaje bia kwenye kifungashio sawa na soda?
Mimi mwananchi bwana!
Huu ni kweli usiopingikaWamefeli kinyama
Mno MkuuTimu ya masoko imepuyanga
Nimecheka daaah🤣🤣🤣 tunaweza kupata nguo mpya za kuwasaidia trafiki hapa😆😆Bia utafikiri imevalishwa reflector, hiyo label nyeusi inavutia