Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 233
- 298
Wanataka kuwa kinyonga😹😹Hawajui kutengeneza brand Hawa
Hawajifunzi kutoka Kwa wenzao safari since day one brand ipo vile vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka kuwa kinyonga😹😹Hawajui kutengeneza brand Hawa
Hawajifunzi kutoka Kwa wenzao safari since day one brand ipo vile vile
Aaah we lazima muoekano ukuvutie ndio uzame kufaidi vya ndani bwanaNyie sio walevi. Walevi huwa hatudeal na contena/tunadeal na kilichomo ndani malevi
🤣🤣🤣🤣 kitu cha wanzikuSerengeti lite kama banana
Wamefeli mbayaKampuni iwatimue jamaa wa branding, wamefeli kinoma!
Kama mbaya tusiseme Mkuu? Punguza makasiriko upokee spana tararibuuuuSasa wewe unatakaje na ili iweje sasa?
Fanyeni kazi bana na msitusumbue.
Umeona eeeh Mkuu, wanasubiri kipindi kile cha kuhonga kanga sasa wamekuja na rushwa kwa wanaume, unagongwa kreti zako 5 unabadilishana na kura yako, shenzi kabisaa hawaStika hii na ile ya kijani ambayo haujaionesha zimeandaliwa na CCM kwa ajili ya uchaguzi.
Kwa reflector yake huna haja ya kumulikwa😹😹😹Ili wakati unakunywa iwe rahisi kuhesabu
😹😹🤣🤣🤣 wakati wameweka kwaajili yenu na kuja kuiba kura kwa wadanganya wana, maana mwanzo ilikuwa kanga tu, mtu wa kampeni kawa mbunifu sasahivi kuwashika na wana😆Mimi mwana CCM lakini ile pimbi ya kijani sinywi!
Eti bia mpauko dah🤣🤣 Mkuu una manenoImekuwa kama bia mpauko.
Unakunywa bia au sticker mjomba.
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi.
Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio cha togwa!
Kiwanda cha Serengeti warudishe sticker za zamani, ama sivyo narudi kunywa Mtikila!
Hutakiwi kufanya kosa kama hili kwenye brand kabisa, hii no zaidi ya kufeliInaelekea hao walioleta hiyo sticker mpya siyo beer brewers, ni waajiriwa wa mark ambao hawana uzoefu kabisa na industry ya brewing na market preerence!
Kweli kabisaMarketing manager amefeli. Packaging ni sehemu ya kumvuta mteja.
Inaonekana kama Ile Pilsner za mitambo kileee!
Ya wana CCM kuwashika na wababa kipindi cha kampeniChupa ya wana Yanga hio
Sticker ni sehemu ya kumvutia mteja na kuweka brand vizuri, ikiwa mbaya inashusha stimu... wewe kama unatoka Serengeti jua tu mmeboronga... stika libaya... rangi za CCM za nini sasa? Hoja zinawashinda sasa mkaona mje mtukamate na rushwa za bia!Unakunywa bia au sticker mjomba.
Kweli Mkuu, warudishe stika ya zamani, na ladha isichakachuliweSijakutana nayo bado tho jana nimekunywa ila ilikuja ile ile ya zamani, wamezingua sana zikikata za mwanzo nitakunywa safari tuu.