Serengeti boys yaaga mashindano kwa kapu la magoli

Wanatumia michezo kama platform ya kuwa maarufu na kufanya Siasa,
 
Mafanikio yoyote yana gharama, sasa kama pesa yote mnapeleka kwenda kuwanunua akina Waitara na Nasari ndio waunge mkono juhudi mnategemea nini. Tamevuna tulichokipanda.
 
Ukikutana na kocha wa dizaini hii hakika anapaswa kuchapwa viboko kabisa hii inadhihirisha ni kiasi gani alivyo-dhaifu kichwani.
Hawa watoto tuwatie moyo wamejitahidi sana kundi lao lilikuwa gumu sana kuliko makundi yote"kasema kocha wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…