Serengeti: Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa na polisi

Serengeti: Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa na polisi

Kwani neno polisi lina hati miliki? Ni polisi wapi anao maanisha jamii/ mgambo/ au wa nchi gani? Ebu polisi wa Tz panueni ubongo siyo vifua.
 
Ko unakubaliana na maneno ya Ruge polisi wa Tanzania ni vibaka na majambazi? Ko hata CDM wakiongoza serikali ingawa siyo leo wanadhani watakuja na polisi wao eti?

Kitu CDM wataanza nacho wakiingia madarakani ni mageuzi makubwa ya vyombo vya dola, hasa hasa jeshi la polisi.
 
Hivi huwezi toa mawazo yako pasipo matusi? Eti kundi la vibaka na majambazi, kweli?
Kwa hiyo kwa mtazamo wako hayo maneno ni matusi! Bora hata ungesema maneno ya kuudhi, kidogo ningekuelewa!

Ingawa ukija kwenye uhalisia, hilo jeshi lina sifa zote za kuitwa majambazi na vibaka! Kutokana na baadhi ya matendo yao ambayo kimsingi yako kinyume kabisa na shughuli zao za kika siku za kuwalinda raia na mali zao.
 
Aiseeeee Naunga mkono hoja.Tukipata kiongozi makini polisi wote wanafutwa kazi ni kweli ni majambazi yanapenda hela kama vile yalichanjwa chale za fedha.ni kweli ni majambazi.
 
Yaani viongozi na wanachama wa upinzani hasa chadema sijuwi akili zao huwa zipoje? Sijuwi wanatumia Nini kinachoathiri upeo wao wa kufikiri? Sasa anazani hii amani iliyopo na iliyotamalaki hapa nchini Ni kwa bahati? Hajuwi wakati yeye amelala kitandani pake Askari wetu wanakuwa wanazunguka huku na huko kulinda na kupiga Doria? Hajuwi wakati yeye yupo ndotoni Askari wetu wanakuwa wapo katika mapambano ya kuzuia ujambazi mahali fulani? Hawa viongozi wa upinzani waliokosa adabu hekima na busara wanapaswa kufundishwa Nidhamu ya kuheshimu serikali yetu pamoja na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, wasiachwe wakaendelea kutukana askari wetu wanaojitoa mhanga wa kulinda na kupigania Taifa letu kila siku
 
Wacha aliwe hana adabu. Haya ndio wanawake ya CHADEMA havina sifa ht ya kuolewa vya hovyo hovyo. Angalia vile Covid-19 wameolewa wangapi. Walioolewa wana ndoano
Nimebanwa na mafiiiii

Mbrrrrr mbrrr mbrrr mbrrr

Nyauww
 
Ni majambazi kweli kweli.

Wanachukua raia wanaenda kuwaua na wanakiri wamewaua.

Kwa nini wasiwapeleke mahakamani kama wanajua wana makosa
Unakumbuka Ile ya mtwara mfanyabiashara wa madini ameuliqa Tena Askari mmoja akakiri kuwa mie nimeagizwa niue ,naye Askari mwenzako wakamua kwa kusema ukweli,na je Ile ya akina zombe na wafanyabiashara waa mdini kutoka ulanga. Na Ile walimua Hamza kisa Cha kuomba hela wakanyimwa wakamtoa mzigo,iyo moja na je Ile mfanyabiashara wa kariakoo anayeitwa Ramadhani Ntuzwe ana mzigo wa mabegi tokea sauzi akapita tunduma Anazo risiti nzuri kila kitu kipo poa kufika hapa wanamuomba awatoe anawaambia Hana kitu. Huwa namaindi wao wanajionaga kisa tu Askari Basi anastahili kupewa hela ya bure.

Jamaa kuwanyima wakawaita watu wa tra wamekuja wakamfungia duka lake yaani uzulumaji.

I must shift from Africa. Jiulize wale blacks wa USA wako radhi wafie kule kwa kunyanyaswa Ila sio Kuja huku unyanyasaji wa mweusi sio kabisa Bora wa mzungu.


Askari baada ya kuzeeka anabakia kuwchomesha raia kwa Askari wenzao walioko kazini wakimtoa mzigo anapata mgawo. Kuna mmoja alistaafu Ni traffic akawa bado anaenda kusimama pale kituo Cha clinic mwanza njia ya airport. Kuna mmoja alifungua kituo chake private karibu na Villa Park akawa anawapa sare wahuni walipoteza kazi wanawaibia watu kwenye gari wanajifanya kuwa Ni matrafic kumbe Ni vibka na jamazimba wakubwa. Yaani wakishastaafu si imeshakuwa Ni behavior na ilivyo kazi kwa binadamu ku change behavior ama behavior modifications sio rahisi kutokea kwa binadamu yaani binadamu abadilike Ni kazi mno yaani mno. Anapostaafu ameshazoea hizi hela za bure za hongo Kama mude muuza mbususo so Hana wazo lingine.

Na wameshazoea kubebwa Kama wanafunzi Mana wanalindwa wanapokuwepo kazini yaani uniform zinambeba. Unashangaa anamuomba mfanyabiashara hata ampelekee tripu ya mawe kisa tu Ni Askari Ila Sasa akishastaafu hizo favour hazipati
 
Back
Top Bottom