Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chama kina watu wahuni sana hiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama kina watu wahuni sana hiki
Nafikiri hili ndio jeshi la.polisi la Marekani, Kanada, ujermani na Sweden au Uk.Hatujamkamata, tumemchukua kwaajili ya mahojiano, tunataka athibitishe juu ya tuhuma alizozitoa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, hapo anakwenda kuhojiwa tu kisha tutamuachia na mtaendelea na mkutano wake na waandishi," amesema Tibishibwamu.
Idugunde na Idegenda😅😅😅Chama kina watu wahuni sana hiki
Amekamatwa kwa Kuwaiti kundi la majambazi, sielewi hapa maana hawa so called majambazi ni mahakama gani iliwatia hatiani kuwa ni majambazi?,Tanzania ni shida ina elements zote za kuwa ni police state
Kwa hiyo kwako wewe kipimo cha mwanamke mwenye adabu ni kuolewa????!!!! 😐😐😐Wacha aliwe hana adabu. Haya ndio wanawake ya CHADEMA havina sifa ht ya kuolewa vya hovyo hovyo. Angalia vile Covid-19 wameolewa wangapi. Walioolewa wana ndoano
Umesoma bandiko uliloweka wewe mwenyewe? Au copy and paste bila kusoma kilichoandikwa??Leo jumamosi dhamana hazitoki. Unanionea bure.