Serengeti: Tabitha Mwise asimulia jinsi Polisi walivyo Vamia nyumbani na kuvuliwa nguo mbele ya baba yake na kulazimisha afanye naye Mapenzi

Polisi hawana hata akili ya kuongopa, kwamba wazee wa miaka 50+ walitoka nduki kuwazidi askari waliojaa kwenye defender mbili.Kwamba hawakuwa hata wamewafunga pingu!!!!
Kwanini wasingepiga risasi miguuni? Au hawana shabaha.
 
One of the brutal police force in the world...PT
 
Tulia we kiuno nchi yoyote ile duniani watu kama hao hupitia mateso makali ili waseme wanashirikiana na kina nani na bunduki ziko wapi

Jambazi habembelezwi ili aseme ukweli
mtuhumiwa wa ujambazi ni baba iweje mtoto asiyehusika adhalilishwe na ahusiki?
 
Nyie mnataka jambazi abembelezwe
Mtu ashakuwa sugu anakamatwa anatoka anaendelea na uhalifu
Hebu toeni ngojera zenu hapa
Dawa ya jambaz ni kula za kichwa tu

Ova
Itungwe sheria na si kujitwalia sheria mkononi
 
Si ndio maana Jeshi la Polisi lina ajiri waliopata Division Ziro na Four!
Mtu mwenye akili japo kidogo ya kuvukia barabara hawezi kufanya unyama kama huo!
 
Wangempiga au kumkaba mappp angesema hicho kitu sio rahisi kabisa kumwambia mtu mzima hivyoo mnajidhalalisha
Am not a soldier professionally but what I do is that I respect career za watu ingawa na wao Wana makosa kibao. Unajua makosa yanayotokea site za ujenzi smt inagharimu client or consultant.je huko na hospital unajua kinachotokea watu wanaakufa,kwenye madereva unajua Ni mangapi wanafanya makosa watu wanapoteza maisha yao.naweza nikaendelea zaidi na zaidi ,uje kwa wabunge ama viongozi unajua wanavyofuja pesa mama wajazito wanakosa vifaa vya kuwasaidia wanapojifungua zahanati za vijijini kwetu.
M
 
Ai niacheni
 
Nyie mnataka jambazi abembelezwe
Mtu ashakuwa sugu anakamatwa anatoka anaendelea na uhalifu
Hebu toeni ngojera zenu hapa
Dawa ya jambaz ni kula za kichwa tu

Ova
Kweli lakini wasivuke mpaka. Polisi wana kawaida pia ya kuua wasio majambazi, kule mtwara walifanya hiki kitu. Mtu sio jambazi wakampa tuhuma za ujambazi wakamuua, kumbe lengo wachukue pesa zake za madini.

Nashauri waangaliwe kwa jicho Kali, huwa Wana tabia ya kupitiliza.
 
Waziii afandeee raia hawajui hii skills shida yetu kila mtu Ni mtalaaamu wa kila fani ujue ,yaani diwani Ni daktari pia Ni Engineer anashauri ama anapima tofali lake uimara wake
KWAHIYO HUKO CHUO CHENU CHA UAFANDE HAMNAGA ETHICS EEH?
 
KWAHIYO HUKO CHUO CHENU CHA UAFANDE HAMNAGA ETHICS EEH?
Mie sio afande sema nimesemea career za watu. Pia ujue kazi ya kudili na majambazi huwa Ni ngumu. Kuna wengine wanawahi kuwapumzisha ili wapumzike
 
Siku ukifanyiwa tukio la kihalifu ndiyo
Utakuja waelewa hao ni watu wa aina gani

Ova
Mimi sitetei majambazi bali nakutetea wewe siku ambayo utakuja kupewa tuhuma ya ujambazi unaweza kula shaba huku ikiwa hukuwahi kufanya ujambazi, hapo ndio kwenye hoja yangu.
 
Pumba tupu,simlisema Magufuli ndiye aliyekuwa mbaya wenu, Sasahivi mnaishi kwa raha, Mbowe anaalikwa Ikuru kulamba buyu la asali,kelele za nini sasa maana muuaji hayuko tena!.
 
Huu utamaduni WA kujichukulia Sheria mkononi tunaotengeneza ni WA kishenzi na utatucost Sana , no one is safe .Unaweza dhani uko Salama Ila kuna siku litakukuta jambo ,mtu anaweza hata akasungizia wewe ni jambazi au mhalifu na watu wakaishia kukupiga kukutesa na hata kukuua , pia hata hao wapuuz polisi wanaweza kukutesa na kukuua wakikutuhumu Kwa kosa flani ,bila uchunguzi WA kina .

Polisi wanatakiwa kufanya kazi Kwa weredi ,Kwanza hao kenge hata police general order na penal code ya Tz hawajui kwamba wanaenda kinyume nayo , wapumbav hawana skills za kucarry out investigation na kupata information bila torture , torture ni forbidden in any way .
 
Mpaka mrisho mpoto alishaimba usemi wao mkuu "Turikuwa tukipambana na majambazi tukayashinda ,wapi "
 
Majambazi mkiwakamata muwahoji siku 3 watoe washirika wao, kicha muwapge chuma wafe.

Pale runzewe na katoro mkoa wa geita ni makazi ya majambazi wa kanda ya ziwa.

Kapgeni risasi na umma muutangazie.

Jambazi. Mwizi, kibaka na panyaroad ni kuwapoteza tu. Wauliwe popote, walawitiwe laiv kisha wasokomezwe nondo mkundun.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…