Serengeti: Tabitha Mwise asimulia jinsi Polisi walivyo Vamia nyumbani na kuvuliwa nguo mbele ya baba yake na kulazimisha afanye naye Mapenzi

Serengeti: Tabitha Mwise asimulia jinsi Polisi walivyo Vamia nyumbani na kuvuliwa nguo mbele ya baba yake na kulazimisha afanye naye Mapenzi

Haya wanayofanya watalipa wao na vizazi vyao mpk vya tatu!!... Wasidhani ni rahic damu itakuwa juu yao kuna oparetion inaendeleea huko serengeti... Ila unyama unakiukwa na watu wengi wamekamatwa, Bunda,Ramadi, na Busega wameenda kuhojiwa huko... Acha tuvute subira
 
Back
Top Bottom