Haya wanayofanya watalipa wao na vizazi vyao mpk vya tatu!!... Wasidhani ni rahic damu itakuwa juu yao kuna oparetion inaendeleea huko serengeti... Ila unyama unakiukwa na watu wengi wamekamatwa, Bunda,Ramadi, na Busega wameenda kuhojiwa huko... Acha tuvute subira