Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Hawa Waarabu bado hawajielewag tu yan wanajiona maspesho who are they had wasiumie
sasa unadhani wa misri ni wasenge km ninyi wakubali kuonewa kisenge senge tu
Wengi tu huumia ktk game Hilo Jambo n la kawaida Luke show alishavunjwa miguu lkn waingereza wakachukulia kawaida ndo soccer lilivo hivoAcha chuki wewee...hao ni ndugu zetu bwana, tatizo miafrika tunapenda sana kujipendekeza kwa mizungu/nguruwe
Wengi tu huumia ktk game Hilo Jambo n la kawaida Luke show alishavunjwa miguu lkn waingereza wakachukulia kawaida ndo soccer lilivo hivo
Beckham pia alishavunjwa mguu na Aldo Duscher mika ya nyuma, Waingereza walijua ni mchezo tu. Likewise Eduardo, aliekua anachezea Arsenal alishawahi kuvunjwa kifundo cha mguu (ankle) na kiligeuka kabisa, wala hakukuwa na malalamiko. Ni mchezo tu.Wengi tu huumia ktk game Hilo Jambo n la kawaida Luke show alishavunjwa miguu lkn waingereza wakachukulia kawaida ndo soccer lilivo hivo
Pamoja mkuu, mchezo wa mpira wa miguu s legelege Kuna kuumizana na pia Kuna kuumia mwenyewBeckham pia alishavunjwa mguu na Aldo Duscher mika ya nyuma, Waingereza walijua ni mchezo tu. Likewise Eduardo, aliekua anachezea Arsenal alishawahi kuvunjwa kifundo cha mguu (ankle) na kiligeuka kabisa, wala hakukuwa na malalamiko. Ni mchezo tu.
teh teh teh!!nimecheka sana hizo quotes za hao wachezaj.anyway mambo bibie.
Usisingizie ngozi kwani yeye ndo wa kwanza kuumia katika mpira? Acheni ushabiki maandazi kisa ulibet umeliwa unajitia kutetea ujinga.Angelikuwa ngozi yetu ingemtachi sana huyu ndugu, but kwakuwa mwarabu watamponda sana na kumuona Ramos ndiye mwenye haki more than salah. Sisi waafrika sijui ni nani katuloga
teh teh teh!!nimecheka sana hizo quotes za hao wachezaj.anyway mambo bibie.
Fresh tu!! hofu kwako.Poa mkuu,za kutwa nzima?
licha ya hayoIna maana Salaah ni muafrika ,mbona mwarabu pepepee
Hahaahhaahahlicha ya hayo
wengine wanakazia bado tu ni mwafrika mwenzetu.
Hakuna kesi hapo!Kuna mahakama za mpira mkuu!!
Tatizo lenu wana majogoo mlieñda uwanjani na matokeo mfukoni!Uingereza watahakikisha Ramos hafiki mbali.
Kwa fitna, Uingereza nawakubali
teh teh cjui nikujipendekeza au nn ebu na wewe nisaidie.Hahaahhaahah
Na yy huyo Salah wenu kwanini alikuwa anagombea mpira na Ramos?? Si angemwachaa tu Ramos aucheze huo mpira??Ukiangalia vizuri nakwamakini Ramos alidhamilia kabisa
Alishift landing area nakujirushia kwenye eneo ambalo naturally asingeangukia kama angeendelea kudondoka kihalisia walivokuwa wakianguka.
Kushift landing point makusudi ndio root cause ya ushenzi uliotokea.
Hahaahahah tuache tu kwa kweliteh teh cjui nikujipendekeza au nn ebu na wewe nisaidie.