Kumbe walifanikiwa kumiliki ?Sio walitaka kumiliki hilo neno pamoja ni Kiswahili lakini ni bland name ya mtu na inamilikiwa na wazungu jaribu kutumia uwone kama ujafungwa tumia mdomo tu lakini sio kwenye bidhaa.
Mimi ni mwanasayansi OG.Au huna backup kwa sasa? 😀😀
Maisha yako ni jf ndo unapotaka kuvimbia watu huku kuaminisha eti wewe ni mwanasayansi.. 😀
Huwaga nakuonaga ni nyumbu kule kwenye soka ndo kabisaa bora hapa..
Watu wa pwani kama vile?Lugha yako kivipi?
Lugha yako ni kisukuma,etc!
Kiswahili ni cha Waswahili wanakaa Pwani!
Hizi fake prides sijui mnatoa wapi!
Sijabashiri. Hizo ndo facts.Huu ujuaji wa kubashiri yaliyo moyoni mwa mtu ni ujinga kama sio uzee unakusumbua
Wewe nionyeshe hao wakenya wako wameenda kufundisha kiswahili nchi gani hapa Africa tofauti na tetesi za Afrika kusini tuliowala vichwa tayariSijabashiri. Hizo ndo facts.
Hakuna matata mbona imetumika sana kwenye matangazo hapa bongo?Wewe kalia ubishi
Wenzio wanamiliki copyright ya hilo neno..
Unaloona ni dogo.
Sio Mali yetu hilo neno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya watasema ni msemo waoWhatever ilimradi lugha yetu imetumika
Wana hati miliki kwanWakenya watasema ni msemo wao
Kama mlima Kilimanjaro wanavyoutangaza wewe umewafanya nn?Wana hati miliki kwan
Who earns more?Kama mlima Kilimanjaro wanavyoutangaza wewe umewafanya nn?
Lilimilikiwa kabla hata movie haikutoka mbona na baada ya kufanikiwa kumiliki hiyo Trademark ndio Lion King ikafuata sasa alafu sasa mbaya zaidi linatambulika limetokea Kenya hilo neno 'HAKUNA MATATA'.Kumbe walifanikiwa kumiliki ?
Hakuna matata mbona imetumika sana kwenye matangazo hapa bongo?
NshakupataInategemea unatangazwa . nini
Ila kisheria hao jamaa wameliwekea copyright.
unaweza ukatumia. Ila si kulimiliki.
Na wao wanaangalia kama hakutakuwa na athari yoyote katika kampuni yao.wataacha utumie tu.
Ila kaa ukijua si neno lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo kabila la waswahili ndo lipiUnaona huu unafiki?
Hujui kabila la Waswahili original?
Waswahili ni kabila original la Waswahili kandokando ya Bahari ya Hindi na Visiwa vyake kutoka Pwani ya Kismayu mpaka Mtwara na Zanzibar,Comoro,Mafia,na utitiri wa visiwa vidogo vidogo.
Kama sio mzaliwa original with 800yrs ancestors from these areas wewe sio Mswahili.
The rest of East Africa imekua Swahilicized tena recently tu kuanzia 1961.
Lugha yetu yenye maneno "hakuna matata" ina hati miliki sasaWhatever ilimradi lugha yetu imetumika
Kila lugha ina maneno yenye hati milikiLugha yetu yenye maneno "hakuna matata" ina hati miliki sasa
Sijalazimisha mtu aamini. Ila mimi najua hakuna matata kaitoa kwenye series au film za Lion the king. Pale Tim na Pumbaa wanavyoimba Hakuna matata.Ni kweli dada yangu yawezekana unajua mengi kunizidi sana lakini kitendo cha kung'ang'ana kuwa huo msemo Ramos kautoa huko kwenye sinema na hutaki kubadili na unalazimisha wengine waamini hivyo lazima hadhara ya jf ikuone "unajimwambafy" yaani watu wenye uelewa zaidi wamejua hii ni tabia yako kutaka kujifanya mjuaji wa kila kitu na yamkini wamekujua zaidi hata kwa uzi mbalimbali,ili kuleta maelewano yapaswa wote tuzungumze kiusawa hata kama unayezungumza naye ni zuzu kiasi gani tafuta namna ya kwenda naye sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipokwenda kufanya movie huko Kenya walivutiwa na hilo Neno Hakuna Matata ndo wakaamua kulitumia. Movie zao ndo zilipeleka hiyo neno to the world hata Neymar,Ronaldo,Messi wanalifahamu.Lilimilikiwa kabla hata movie haikutoka mbona na baada ya kufanikiwa kumiliki hiyo Trademark ndio Lion King ikafuata sasa alafu sasa mbaya zaidi linatambulika limetokea Kenya hilo neno 'HAKUNA MATATA'.