Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Whatever ilimradi lugha yetu imetumikaunaijua film ya THE KING LION? Huo msemo kautoa humo.
alikwambia ameutoa huo msemo humo??unaijua film ya THE KING LION? Huo msemo kautoa humo.
Sio lazima aniambie,huoni hapo kaweka emoji ya Simba?UNAMJUA Mufasa WA KWENYE king Lion?Yaani bila shaka mkabisa najua kautoa humo.alikwambia ameutoa huo msemo humo??
Ujuaji mwingi.
Congratulations kwa Magufuli na serikali yake kwa kukuza hii lugha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaha sijaiweka... Nimefungua tu fb nikaikuta... Unadhani hiyo picha nimeiwekaje bila bando?Asante kwa kutumia free Mode, awamu hi lazima beberu anyonywe mpaka akome!
Huyo Mustafa emoji yake iko wapi hapo?Sio lazima aniambie,huoni hapo kaweka emoji ya Simba?UNAMJUA MOUSTAPHA WA KWENYE king Lion?Yaani bila shaka kabisa najua kautoa humo.
Unachekesha.MUfasa NI SIMBA BABA, THE KING LION Film wanaongea maneno mengi tu ya kiswahili.Hakuna matata linatumika sana.Ramos kalisikia humo nina uhakika asilimia 200.Huyo Mustafa emoji yake iko wapi hapo?
Kila mtu anayeweka emoji ya simba anamaanisha kaangalia hiyo movie? I
Acheni inferiority complex Nyie mazwazwa.Huyo Mustafa emoji yake iko wapi hapo?
Kila mtu anayeweka emoji ya simba anamaanisha kaangalia hiyo movie? I
Wewe mama nae zimekuruka..Unachekesha.MOUSTAPHA NI SIMBA BABA, THE KING LION Film wanaongea maneno mengi tu ya kiswahili.Hakuna matata linatumika sana.Ramos kalisikia humo nina uhakika asilimia 200.
Wewe ndo mwenye tatizo unajikuta mzungu mwenyewe..
alikwambia ameutoa huo msemo humo??
Ujuaji mwingi.
Mufasa ni baba yake Simba. Wewe hutaelewa kaangalie kwanza Film inaitwa The Lion king. La sivyo hapa natwanga maji kwenye kinu.Wewe mama nae zimekuruka..
Kwanini usingesema unamjua simba tungeelewa..
Sasa Wewe eti unamjua Mustafa?? watu ambao hatujaangalia tutajua ni mtu Kumbe simba..!
Eti unamjua Mustafa..!sema simba.. Wewe unaemjua yuko wapi kwa sasa huyo Mustafa 😀😀😀