Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Wabongo kwa league hamjambo ...
Screenshot_2020-01-18-22-43-51-89.jpeg
Screenshot_2020-01-18-22-43-39-57.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa watu wamekazana na hiyo Lion King kana kwamba wao ndo walivumbua hilo neno..!
I ain't got no patience, I love to get dirty
But fuc*k it I'm cool with the drama (Cool)
When niggas be hatin' I tell them no worries my nigga, Hakuna Matata
 
Acheni kumzingua Maza pancho boy ROBERTO 20

katoa Mtazamo Wake pengine ni kweli huyo Sergio amevutiwa na hilo neno Hakuna Matata kutoka kwenye hio movie THE LION KING as long as hiy movie goes viral all over the world

Wewe pancho boy unasema Sergio atakua anajua ni Slogan ya wakenya.Yeye Sergio Alikuambia wapi ameitoa kenya ??

Yani kwamba Hiyo Film inaonekana
imekuza Sana huo msemo kuliko kitu kingine japo ulikuepo unatumika na wazungu mda mrefu
Na kwa sababu hiyo yawezekana alionea huko
 
Asante,, asipoelewa hapa itabidi afe tu..
Acheni kumzingua Maza pancho boy ROBERTO 20

katoa Mtazamo Wake pengine ni kweli huyo Sergio amevutiwa na hilo neno Hakuna Matata kutoka kwenye hio movie THE LION KING as long as hiy movie goes viral all over the world

Wewe pancho boy unasema Sergio atakua anajua ni Slogan ya wakenya.Yeye Sergio Alikuambia wapi ameitoa kenya ??

Yani kwamba Hiyo Film inaonekana
imekuza Sana huo msemo kuliko kitu kingine japo ulikuepo unatumika na wazungu mda mrefu
Na kwa sababu hiyo yawezekana alionea huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kumzingua Maza pancho boy ROBERTO 20

katoa Mtazamo Wake pengine ni kweli huyo Sergio amevutiwa na hilo neno Hakuna Matata kutoka kwenye hio movie THE LION KING as long as hiy movie goes viral all over the world

Wewe pancho boy unasema Sergio atakua anajua ni Slogan ya wakenya.Yeye Sergio Alikuambia wapi ameitoa kenya ??

Yani kwamba Hiyo Film inaonekana
imekuza Sana huo msemo kuliko kitu kingine japo ulikuepo unatumika na wazungu mda mrefu
Na kwa sababu hiyo yawezekana alionea huko
Nimesema atakua anajua.. Sio anajua. Kama anavyosema mwenzako..
Wewe nae unga foleni kule 😀😀
 
Acheni kumzingua Maza pancho boy ROBERTO 20

katoa Mtazamo Wake pengine ni kweli huyo Sergio amevutiwa na hilo neno Hakuna Matata kutoka kwenye hio movie THE LION KING as long as hiy movie goes viral all over the world

Wewe pancho boy unasema Sergio atakua anajua ni Slogan ya wakenya.Yeye Sergio Alikuambia wapi ameitoa kenya ??

Yani kwamba Hiyo Film inaonekana
imekuza Sana huo msemo kuliko kitu kingine japo ulikuepo unatumika na wazungu mda mrefu
Na kwa sababu hiyo yawezekana alionea huko
Nimegundua vijana wengi hawafikirii,hawana imagination.
 
I ain't got no patience, I love to get dirty
But fuc*k it I'm cool with the drama (Cool)
When niggas be hatin' I tell them no worries my nigga, Hakuna Matata
Braza nimechoka kubishana na vichaa hapa.
Vitu vidogo wanavikuza mnoo dah 😀😀😀
 
Pole sana mama Mimi sio level yako..
Kapambane na nyumbu wenzako kule kwenye uzi wenu.. [emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
Huna unalojua wewe Maamuma , hopeless kabisa wewe. Ukitoka mtaani kwenu umevuta bangi zako huko Tandale mnafakamia Instagram na Facebook kutukana Kama vichaa...

Sasa huo upuuzi msiwe mnaleta huku Jf kwa Great Thinkers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom