Unaweza kuifanyia recap hiyo Episode moja?Aisee Vincenzo Jr hili chuma ulilo leta humu limekidhi vigezo vyote. Director kwenye episode 2 amenikosha mnooo. Ngoja nisonge nayo shukrani sana
View attachment 3210468
Hapana kakaHii season 2 yake imetoka?
Ngoja Nii download hapaThe night Agent Season 2 inazagaa
View attachment 3211134
Labda mtaalam vicenzoUnaweza kuifanyia recap hiyo Episode moja?
Vincenzo Jr Mr Q nipeni link ya hii series dubbedAisee Vincenzo Jr hili chuma ulilo leta humu limekidhi vigezo vyote. Director kwenye episode 2 amenikosha mnooo. Ngoja nisonge nayo shukrani sana
View attachment 3210468
The night Agent Season 2 inazagaa
View attachment 3211134
YeahKudadadeq wamemwaga mzigo wote?
Naomba link ya 720pYeah
Naona episode 10 zimeachiwa leo😋Kudadadeq wamemwaga mzigo wote?
Naomba link ya 720p
Ndio EP 10 za motoKudadadeq wamemwaga mzigo wote?
Pitia humu GO AHEAD, BROTHER SERIESVincenzo Jr Mr Q nipeni link ya hii series dubbed
Pitia hapa kisha bonyeza season 2 utaletewa EP zote 10Naomba link ya 720p
Muvi imechangamka sana🙌🏽Tutegemee Escape Room 3 mwaka huu 2025, tarehe not confirmed
View attachment 3210825
Sawa mkuuHorror hii na haka kabinti ili ukafaidi cheki the idol humo kagongwa sana na lolimodo wangu the Weeknd
Vincenzo Jr nisaidie link mkuu ya hii seriesAisee Vincenzo Jr hili chuma ulilo leta humu limekidhi vigezo vyote. Director kwenye episode 2 amenikosha mnooo. Ngoja nisonge nayo shukrani sana
View attachment 3210468
Soma hapa niliweka link kakaVincenzo Jr nisaidie link mkuu ya hii series
Season two imetoka ??Risasi moja tu ya jicho kutoka kwa mwamba Jackal inamhusu.
Season 2 jamaa atakuwa anatoroka nchi na private jet baada ya msako mzito kutoka kwa Zina upande mmoja na MI6 agents kadhaa kwenye ma Range meusi waliokuwa wakimfukuza barabarani na yeye kuingia kwenye parking building na kubadilisha magari na kuwapoteza.
Atafanikiwa kuingia kwenye ka airstrip cha don mmoja mwenye winery nje ya mji kwenye kashamba flani ka mizabibu. Atatoka kwenye hangar vizuri tu na ki Gulfstream G8 chake na kuclear runway vizuri tu, ila ndege ikiwa hewani na ka stewardess kakiwa kana mmiminia champagne, ghafla mlango wa rubani unafunguliwa na rubani anatoka. Rubani ni nani? Jackal mwenyewe.
Wanaongea mawili matatu halafu Jackal anampiga ile "F@#k you" kama ya kale katapeli kengine ja kijerumani na kumpiga moja ya jicho.
BadoSeason two imetoka ??