Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nasubiri jay millionea 100 za Voda ntavuruga mbu wote
Mary anafreez mayai tu umri unaenda
Umeme umerudi:lol:?
Nitaiangalia from now hata sisubiri lool!Inaonekana iko makini!
Nishaanza season 1 episode 1...sana sana,utaipenda nina hakika....! Iko season two sasa, so anza basi tufike mahali twende sambamba
Juzi wameishia pazuri na David....he he he he jamani yule David nae mzuri mno,mi macho yake tu....ngoja nikalale.....ha ha ha ha ha
Hatari
sana sana,utaipenda nina hakika....! Iko season two sasa, so anza basi tufike mahali twende sambamba
Hii niliicheki season one..sikujua kama ya pili imetoka..ngoja niitafute
Iko Ray,iko episode 6 sasa
kubwa sana,juzi alivyokuwa mpole na anamsubiri Mary jane nilimpenda sana,anajua mpenzi wake anapitia nini na anajishusha,mwanaume wa kibongo umjibu mbovu asubuhi then umpigie jioni sijui muonane,hiyo mitusi na jeuri utakoma
Nishaanza season 1 episode 1...
Ishafika half way thru naona ntacheki two episodes leo kabla sijalala!Upo fasta lol
Wadau hivi revolution iliiisha au itaendeleaa??vipi kuhusu the last ship,hannibal na under the dome zitaendelea??
Lost niliiangalia yote lkn mwisho ikaanza kuniboa coz ilikuwa fiction zaidi!!!Homeland,nikita na series nyingine za kiintelijensia ndo nazipenda sana,lost,lie to me,kidogo revenge,revolution sikuielewa na haikunivutia
Homeland,nikita na series nyingine za kiintelijensia ndo nazipenda sana,lost,lie to me,kidogo revenge,revolution sikuielewa na haikunivutia
Kuna kitu kinaitwa Dominion jamaniiii. . N series nzuri sana