Series (Special thread)

Series (Special thread)

Habari wana jamvi, HV ntapataje have n have nots series nimejaribu kickass nakuta ziko kwa episode na baadhi hazipo complete, help me plz
 
Mkuu ushaanza kuangalia msimu mpya vikings nipe list ya series mpya zenye big watching rates za 2015

Ndio naendelea mjomba...halafu the Americans na walking dead zimekuwa tamu zaidi..
Kwa mwaka huu naona bado but nimecheki State of Affairs hiko vizuri na Better call Saul...
Ila ndio nataka nianze messengers
 
gorgeousmimi shosti ako Mary Jane anakera..wanawake wengine pasua vichwa sana..
 
Last edited by a moderator:
ray lee
Umeshaangalia episode ya mwisho???MARY JANE anawakilisha wanawake wengi mno na uhusiano wake na david uko unhealthy maana ni wakuparamiana tu hamna committment.Lakini pale alipomwambia i want your baby then next morning anasubiri majibu kutoka kwa mungu dah!!!Anatoa mixed signals sana...
 
Last edited by a moderator:
ray lee
Umeshaangalia episode ya mwisho???MARY JANE anawakilisha wanawake wengi mno na uhusiano wake na david uko unhealthy maana ni wakuparamiana tu hamna committment.Lakini pale alipomwambia i want your baby then next morning anasubiri majibu kutoka kwa mungu dah!!!Anatoa mixed signals sana...

Mi namuangaliaga nacheka sana lakini najua kuna wanawake type ya Mary Jane,ngumu kutulia kimoja. yeye mwenyewe anaogopa commitment,anapenda idea ya commitment ila uhalisia wake hajakubaliana nao. Ya jana umeangalia?
 
ray lee
Umeshaangalia episode ya mwisho???MARY JANE anawakilisha wanawake wengi mno na uhusiano wake na david uko unhealthy maana ni wakuparamiana tu hamna committment.Lakini pale alipomwambia i want your baby then next morning anasubiri majibu kutoka kwa mungu dah!!!Anatoa mixed signals sana...

MJ ni chizi..uwa ananichekesha sana..I like her..Ila mi namuona hajielewi anataka nn..mwanzo alikuwa anaweweseka ile mbaya kuhusu David plus hadi kugombana na watu..kaka wa watu kaja zen anaanza kumletea mapichapicha..Hata mi ningekuwa D nisingekubali.
 
Last edited by a moderator:
Mi namuangaliaga nacheka sana lakini najua kuna wanawake type ya Mary Jane,ngumu kutulia kimoja. yeye mwenyewe anaogopa commitment,anapenda idea ya commitment ila uhalisia wake hajakubaliana nao. Ya jana umeangalia?

Ukiwa na mpnz kama MJ inabidi na we uwe chizi kidogo ili muende sawa
 
Mi namuangaliaga nacheka sana lakini najua kuna wanawake type ya Mary Jane,ngumu kutulia kimoja. yeye mwenyewe anaogopa commitment,anapenda idea ya commitment ila uhalisia wake hajakubaliana nao. Ya jana umeangalia?
Hata sijaiangalia shost empire imenikamata nikilala nayo na kuamka nayo lkn naipause kwanza ngoja nimcheki MJ!!
 
Ukiwa na mpnz kama MJ inabidi na we uwe chizi kidogo ili muende sawa

Kabisa, he he he he,mi navyompendaga David ila ukweli naanza kumuona Sheldon mzuri japokuwa MJ atamuua kisaikolojia.....MJ anastahili yule msanii wake wa mwanzo aliomwagia maji au kale ka chocolate kake ka part time.
 
Umeipenda so far? Mtu mmoja ali-recommend If loving you is wrong hapa,nimeitizama pia nimeipenda kiasi. Iwe next!
Yah nimeipenda empire na the songs are so refreshing too yaani haiboi!!I liked cookie ha ha ha she is nuts lol....Nitacheki na hio nyingine nikimaliza empire!
 
Yah nimeipenda empire na the songs are so refreshibg too yaani haiboi!!I liked cookie ha ha ha she is nuts lol....Nitacheki na hio nyingine nikimaliza empire!

Kabisa my favourite song ni Conqueror,alioimba Jamal na Estelle....that song keeps me going!
 
Kabisa, he he he he,mi navyompendaga David ila ukweli naanza kumuona Sheldon mzuri japokuwa MJ atamuua kisaikolojia.....MJ anastahili yule msanii wake wa mwanzo aliomwagia maji au kale ka chocolate kake ka part time.

MJ na sheldon nadhani watawezana..sheldon is smart and romantic...Sema Mj sidhani kama itakuwa rahisi kumsahau david
 
Empire ni kila kitu. Hii Serie imeanza Mwaka huu January lakini imekwisha jizolea Mamilioni ya Wapenzi na watazamaji Lukuki.

Hii sio ya kukosa kwa wale wapenzi wa Series.
 
Empire ni kila kitu. Hii Serie imeanza Mwaka huu January lakini imekwisha jizolea Mamilioni ya Wapenzi na watazamaji Lukuki.

Hii sio ya kukosa kwa wale wapenzi wa Series.

Channel zipi mkuu mnaangalia?
 
Back
Top Bottom