Series (Special thread)

Series (Special thread)

Amen....mbona humuongelei best wako nani yule aliyekuwa Mission...katafutiwa mwanamke na mama yake na bado anampenda bi mkubwa wake???? kweli kuna wanaume vichwa maji.....simuelewagi kabisa yule kijana

Sio best angu tena..Travis ni kiazi yule..tena kiazi mviringo..hata simuelewi..bt I hope watakuwa sawa tu..soon Kelly atalegeza msimamo
 
Randal ni mwisho wa matatizo..mchepuko gani hauogopi..yani huko huru kama unajilia mali zake

Ukilewa dhambi unakuwa kipofu....sijawahi kuona mtu mjinga vile....! Hata kujitahidi kwa mkeo basi....zeroooo,kafa kwa mke wa rafiki yake.
 
Ushoga na usagaji tu ndo unanikera mule

jamani,mbona ukiwatizama mashoga kama Jamal na vipaji vyao wanavumilika tu....Bora hata wa Empire,kuna series inaitwa The have and the have nots ,huyo shoga wa hiyo ni balaaa,unaweza acha series
 
Ukilewa dhambi unakuwa kipofu....sijawahi kuona mtu mjinga vile....! Hata kujitahidi kwa mkeo basi....zeroooo,kafa kwa mke wa rafiki yake.
Mchepuko umesahau njia kuu...poor Marcie akimsuspect mpaka Esperanza kumbe mbaya wake rafiki kipenzi Alex....maskini we!!!
 
Sio best angu tena..Travis ni kiazi yule..tena kiazi mviringo..hata simuelewi..bt I hope watakuwa sawa tu..soon Kelly atalegeza msimamo

ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa,umeona sasa ndio maana tunakupa Peppa.....Travis ni kiazi kwa kumpenda mwanamke wake zaidi ya aliyochaguliwa na mama yake?? Kelly deserves better
 
Akome,hatumpi ng'o....!Akishapata somo arudi tutampatia Mercie....Esperanza tutakuja kung'olewa kucha na Mexican Gangs

Opphh!!!..kwa mercie sawa.ntakuwa sijadondokea mbali...esperanza na Julius washamalizana nadhani,..wala usiogope..ugomvi wao ni Eddie
 
Ukilewa dhambi unakuwa kipofu....sijawahi kuona mtu mjinga vile....! Hata kujitahidi kwa mkeo basi....zeroooo,kafa kwa mke wa rafiki yake.

And brad is soo humble and caring..Huyu Alex sijui alikuwa anatafuta nn..kwa Yule chizi mapenzi Randal
 
jamani,mbona ukiwatizama mashoga kama Jamal na vipaji vyao wanavumilika tu....Bora hata wa Empire,kuna series inaitwa The have and the have nots ,huyo shoga wa hiyo ni balaaa,unaweza acha series
A Man kissing with another man?nope,yule Mzungu nae ndo alikubali kuwa kimada wa Jamal,,,,,,,,,,,,:disapointed:so stupid,kuzoezoea kuangalia kule si kuzuri,bora tunaangalia kwenye ma-PC je ingekua kwa TV ni hatar sana
 
A Man kissing with another man?nope,yule Mzungu nae ndo alikubali kuwa kimada wa Jamal,,,,,,,,,,,,:disapointed:so stupid,kuzoezoea kuangalia kule si kuzuri,bora tunaangalia kwenye ma-PC je ingekua kwa TV ni hatar sana

Tunakoelekea japo ni ngumu sana hatuna budi kuwavumilia tu....manake sasa naona kila series wapo...unawaona kila episode!
 
ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa,umeona sasa ndio maana tunakupa Peppa.....Travis ni kiazi kwa kumpenda mwanamke wake zaidi ya aliyochaguliwa na mama yake?? Kelly deserves better

Nooo.ni kiazi kwa kushindwa kuipigania nafsi yake..na kale kademu chake hata sikaelewi..kaliongozana na Travis kwenda kwa Kelly ili iwaje??..Kelly angekanasa hata vibao viwili atleast akili zimkae sawa
 
Nooo.ni kiazi kwa kushindwa kuipigania nafsi yake..na kale kademu chake hata sikaelewi..kaliongozana na Travis kwenda kwa Kelly ili iwaje??..Kelly angekanasa hata vibao viwili atleast akili zimkae sawa

Kale kadada kako so innocent jamani, ka kanisani....halafu kazuri mno....no wonder mama yake alikatafutia Travis....ila Travis anataka mkomavu wake,toto la mjini Kelly.
 
Back
Top Bottom