Series (Special thread)

Series (Special thread)

Haaaa nimemuona jamaa akijiliza eti anampenda esperanza vurugu nyingi kumbe ni coward tu muoga ka nzi lol ha ha ha kapata wababe wake!!

Mnyonge sana sema hataki demu amkalie kichwani basi anampa shida.....matokeo yake kina ray lee wanamtaka sasa kwa udhaifu wake....eti anapenda anavyolalamika.
 
Nooo..wala husimwite kiazi..Huyo travis ni best yako..umetoka kumsifia muda si mrefu..tumekuacha uendelee nae

mi mwenyewe namshangaa Ms. Kelly aka Gourgeous mimi kumuona Travis kiazi....sisi ndio tumuone kiazi wewe itabidi utafute namna nyingine ya kumlea akue na awe na maamuzi yake
 
Kale kadada kako so innocent jamani, ka kanisani....halafu kazuri mno....no wonder mama yake alikatafutia Travis....ila Travis anataka mkomavu wake,toto la mjini Kelly.

Ni ka-cute sikatai...ila nae kiazi tu kama bf wake..utahuifadhi vipi moyo wako kwa mtu ambae unajua fika mapenzi yake yako kwa mtu mwingine..expire date ya huhusiano wao iko karibu
 
mi mwenyewe namshangaa Ms. Kelly aka Gourgeous mimi kumuona Travis kiazi....sisi ndio tumuone kiazi wewe itabidi utafute namna nyingine ya kumlea akue na awe na maamuzi yake
ha ha ha uwiiii travis handsome lkn lol....baadae wajameni
 
Mnyonge sana sema hataki demu amkalie kichwani basi anampa shida.....matokeo yake kina ray lee wanamtaka sasa kwa udhaifu wake....eti anapenda anavyolalamika.

Hahahaha...esperanza anavyolalamika kama anakubembeleza vile....mtu kama yule unaweza ukawa unamudhi kila saa yani
 
Ni ka-cute sikatai...ila nae kiazi tu kama bf wake..utahuifadhi vipi moyo wako kwa mtu ambae unajua fika mapenzi yake yako kwa mtu mwingine..expire date ya huhusiano wao iko karibu

Hujawahi tokewa na hiyo hali eeh? huwezi jua....lol.....mapenzi upofu.....!
 
Hahahaha...esperanza anavyolalamika kama anakubembeleza vile....mtu kama yule unaweza ukawa unamudhi kila saa yani

na humpati....wewe na Alex aka Peppa....muongo anakuangalia hapo machoni na kujichekesha.....mwanamke katili sana yule
 
na humpati....wewe na Alex aka Peppa....muongo anakuangalia hapo machoni na kujichekesha.....mwanamke katili sana yule

Basi..si mshanipa mercie..nimekubalia...Hadi sasa sijajua Alex anampenda nani zaidi..brad au Randal
 
Back
Top Bottom