Series (Special thread)

Akuuu nisijekukata vinanii bureee!!

hizi dharau zako siku zitakutokea puani..mi nimeweka pause nakusubiri

Hahaha mjomba naona amepanic.....ila atoto mwenzio kakutegea huyo ndio maana kaweka pozi anakisubiriii
Kaboom sio kukuta ni kukata vinaniii buree....mjomba vipi au kweli nini inabidi ujue kunata na beat....
 
Last edited by a moderator:
Hahaha mjomba naona amepanic.....ila atoto mwenzio kakutegea huyo ndio maana kaweka pozi anakisubiriii
Kaboom sio kukuta ni kukata vinaniii buree....mjomba vipi au kweli nini inabidi ujue kunata na beat....

Hahahaaaaaa! Yaani wewe umemaliza, hebu nisaidie kumuuliza maana macho husoma kile unachotaka kusoma!! Ye kawaza mbaaaaaali wakati mie walaaa sijafika huko, eti Kaboom yaliyomo yamo kweli mbona umewaza mbali hivyo jamani wakati mie hata wazo sina!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa! Yaani wewe umemaliza, hebu nisaidie kumuuliza maana macho husoma kile unachotaka kusoma!! Ye kawaza mbaaaaaali wakati mie walaaa sijafika huko, eti Kaboom yaliyomo yamo kweli mbona umewaza mbali hivyo jamani wakati mie hata wazo sina!!
we katoto embu tulia.raha ya ngoma uingie ucheze..usitake kusimuliwa
 

Asante mkuu,
Vipi kuhusu series ya Reign nayo ina mambo ya laana kama Game of Thrones?
 
Asante mkuu,
Vipi kuhusu series ya Reign nayo ina mambo ya laana kama Game of Thrones?

Hii Reign niliiangaliaga Pilot yake tu na kusema na ukweli sikuipenda kivile coz naona imekaa kiteenager sana na mie series za kiteenager nmezichoka kuanzia Vampire diaries mpaka One tree hill..

Ina mandhali nzuri ya kizamani na kifalme lakini wameweka plot yake kama ya mapenzi ya kicolloge and I'm too old for this..

Tukirudi kwenye swali lako ni kwamba hii Reign coz inahusu mahusiano ngono zake sio zile kali na za hadharani kama kwenye Game of thrones ingawa zipo
Inafaa kuangalia
 
Mzigo nishaubeba wangu, hii ilikuwa kwenye my top list! Tusiache kukumbushana katika ujio wa mizigo mingine! Much respect.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…