kinachoboa wakorea ni hizo subtitles lakini sie wengine kv kizungu chenyewe ni cha kuunga uunga basi hata hao wanaoongea kuzungu ni lazima tubandike na subtitles ndipo 2naweza kwenda pamoja... kwahyo, kwa hili najionea sawa tu!mie wakorea hapana kwakweli zimenishinda, cmalizagi hata episod moja, ukiongezea na kuconcetrate na sub title ndio kabisaaaa!!!